Kusaidia binadamu ni kusogeza matatizo/kifo

Kusaidia binadamu ni kusogeza matatizo/kifo

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Yamenikuta mara kadhaa kila nilipojaribu kutoa msaada kwa ndugu na jamaa mabaya yalinipata. Nimehitimisha kuwa sio kila mhitaji wa msaada ni lazima kumsaidia. Wema unaponza!
 
Ila ukweli usemwe ss ambao tunezaliwa kwenye koo ambazo hazipo vzr kiuchumi/maskini zinachangia kuturudsha nyuma kuna mda mpka unahsi tutakua maskini siku zote hz
Kusaidia ndugu hakumfanyi mtu kuwa fukara au masikini,mfano mzunguko wako kwa mwezi milioni 1 kwa mwaka milioni 12 ukitoa milio 4 kuwa saidia ndugu zako unabakiwa na milioni sitta

Bimana kila mwaka utawasaidia ndugu zako hata 2 kuwapeleka veta hata kuwapa hela ya kupanua kilimo kwa miaka 3 utakuwa umewasaidia bado na wewe mzunguko wako utakuwapo tu wote hawa matajiri unao waona wanasaidia sana ndugu zao mpaka ukweni wanasaidia shemeji zao hata marafiki lakini mali inakuwepo ukiona mzunguko wako hauwezi kumsaidia ndugu yako tambua wewe ni fuara wa badae
 
Huna hela wewe tangulini mwenye hela hakashindwa kumsaidia nduguye
kiukweli sina hela ndo kwanza natafuta na Nimekuambia kuwa sisaidii..? Lazma niwasaidie nawasaidia kila kwenye tatzo ila na mm mambo yangu hayaendi sas unapopta pesa ndgu amepata changamoto inabd usimamishe mambo yaKo
 
Na ukitunyima tunakuroga na hela ya kukurogea hujui tumepata wapi ila tutakuvimbisha tumbo kisa ulitunyima alfu kumi..[emoji28]
Ufahamu wa kishenzi kudhani kumsaidia ndugu kunakifanya kuwa masikini
 
kiukweli sina hela ndo kwanza natafuta na Nimekuambia kuwa sisaidii..? Lazma niwasaidie nawasaidia kila kwenye tatzo ila na mm mambo yangu hayaendi sas unapopta pesa ndgu amepata changamoto inabd usimamishe mambo yaKo
Wewe huna wambie sina bado ufukara wewe
 
Kusaidia ndugu hakumfanyi mtu kuwa fukara au masikini,mfano mzunguko wako kwa mwezi milioni 1 kwa mwaka milioni 12 ukitoa milio 4 kuwa saidia ndugu zako unabakiwa na milioni sitta

Bimana kila mwaka utawasaidia ndugu zako hata 2 kuwapeleka veta hata kuwapa hela ya kupanua kilimo kwa miaka 3 utakuwa umewasaidia bado na wewe mzunguko wako utakuwapo tu wote hawa matajiri unao waona wanasaidia sana ndugu zao mpaka ukweni wanasaidia shemeji zao hata marafiki lakini mali inakuwepo ukiona mzunguko wako hauwezi kumsaidia ndugu yako tambua wewe ni fuara wa badae
Ni kweli uliyosema na hvhv tunafanya sio kwamba hatusaidii hapana ila kwa ss ambao tunaunga unga mjini hatujaajirowa ni ngumu sana kuna mda unakaa mdani week mbili hupati kazi unapopata kikaz kuna changmoto znatokea inabd usaidie ndg hata kwa kidg
 
HAhahahaha ukata huu
Huo ndio ukweli mfano angalia waarabu wanavio bebana lakini mali zinazidi kuwepo tu hata kama baba yao alizaa mtoto huko mitaani watampachika kwenye kitengo fulani hata kukagua tiketi kwenye basi hili wafiche aibu
 
tunajua umeleta uzi ili tukusaidie kujustify ubinafsi wako

wacha roho mbaya tenda wema nenda zako. Aliyekupa wewe Riziki ndo kamnyima mwingine na Riziki ya binadamu ipo kwa binadamu mwingine.

Shukuru Mungu kukupa Riziki ambayo unaweza ata kushare na mwingine na omba sana asikunyang'anye akampa mwingine, maji utayaita mma.!
 
Ukimsaidia binadamu akishafanikiwa tu anaanza kukuwinda akumalize anaanza kuona Kama uwepo wako Kama unamubania hv. Kila mtu ahustle huruma zinaponza
 
Back
Top Bottom