Kusaidia binadamu ni kusogeza matatizo/kifo

Kusaidia binadamu ni kusogeza matatizo/kifo

tunajua umeleta uzi ili tukusaidie kujustify ubinafsi wako

wacha roho mbaya tenda wema nenda zako. Aliyekupa wewe Riziki ndo kamnyima mwingine na Riziki ya binadamu ipo kwa binadamu mwingine.

Shukuru Mungu kukupa Riziki ambayo unaweza ata kushare na mwingine na omba sana asikunyang'anye akampa mwingine, maji utayai
Umiza kichwa zaidi ya hapo! Sina maana unayoitaka wewe!
 
No good deed goes unpunished!

Si kweli
Umemwona Baharesa kila Ijumaa ana gawa pesa na misosi nje ya gate lake na kuna watu kama wote!
Angalia nchi za ulaya na USA wanavyo toa msaada!
Hiyo ndio shida ya wazungu wakisha jua siri ya mafanikio, wanatunga neno baya mbele yake!
Dadadeki zao hawa watu wa pink walahi!
 
Ila ukweli usemwe ss ambao tunezaliwa kwenye koo ambazo hazipo vzr kiuchumi/maskini zinachangia kuturudsha nyuma kuna mda mpka unahsi tutakua maskini siku zote hz

Hapo itabidi uwe mzungu tu
Kila mtu na kwake!
Mimi mwenyewe nilikuwa victim wa kusaidia ndugu zangu, nikawa sijui vile ninavyo wasaidia ndivyo wanavyo kuchukia!
Mbaya zaidi walinigeukia na kutaka kuniuwa, bali Mwenye Enzi Mungu wangu akaniokoa kwenye tundu la simba walahi!
 
Na ukitunyima tunakuroga na hela ya kukurogea hujui tumepata wapi ila tutakuvimbisha tumbo kisa ulitunyima alfu kumi..[emoji28]

Wanakuroga kila siku unapowapa pesa
Achana nao kabisa shika lako!
 
Narudia tena USIWAPE PESA AU MSAADA WAKO WOWOTE
ACHANA NAO!
Lakini kuna mda unakuta n dadaangu wa tumbo moja af ako na mtot mdg dah kumkataa huwaga nashndwa kbsa alozaa nae hakai nae sjui hawaelewan sas unajikuta huna namna damu nzto kuliko maji
 
Huo ndio ukweli mfano angalia waarabu wanavio bebana lakini mali zinazidi kuwepo tu hata kama baba yao alizaa mtoto huko mitaani watampachika kwenye kitengo fulani hata kukagua tiketi kwenye basi hili wafiche aibu
Waswahili sisi ukimuweka ndugu kwenye biashara yako anakuibia ukimpeleka polisi ndugu wanachachamaa wanakuona una roho mbaya unataka kumfunga ndugu yako kisa kaiba cha ndugu yake tena ukimpeleka polisi polisi hao hao wanakwambia ebu mkaongee kifamilia myamalize wakati waarabu, wachina, wahindi wakimuweka mahali kwenye kazi/biashara akiiba familia na ukoo mzima unamtenga... Sisi hatupo serious.
 
Hapo itabidi uwe mzungu tu
Kila mtu na kwake!
Mimi mwenyewe nilikuwa victim wa kusaidia ndugu zangu, nikawa sijui vile ninavyo wasaidia ndivyo wanavyo kuchukia!
Mbaya zaidi walinigeukia na kutaka kuniuwa, bali Mwenye Enzi Mungu wangu akaniokoa kwenye tundu la simba walahi!
Duh hy ndo alosema mdau mmoja apo juu ukiacha kukusaidia wanakuroga sa sjui wanataka nini
 
Kusaidia ndugu hakumfanyi mtu kuwa fukara au masikini,mfano mzunguko wako kwa mwezi milioni 1 kwa mwaka milioni 12 ukitoa milio 4 kuwa saidia ndugu zako unabakiwa na milioni sitta

Bimana kila mwaka utawasaidia ndugu zako hata 2 kuwapeleka veta hata kuwapa hela ya kupanua kilimo kwa miaka 3 utakuwa umewasaidia bado na wewe mzunguko wako utakuwapo tu wote hawa matajiri unao waona wanasaidia sana ndugu zao mpaka ukweni wanasaidia shemeji zao hata marafiki lakini mali inakuwepo ukiona mzunguko wako hauwezi kumsaidia ndugu yako tambua wewe ni fuara wa badae

Utashangaa nakwambia hii mijitu sio yakusaidia kabisa walahi!
 
Tumeiga culture yote ya Kizungu , lakini atuku iga kitu kikubwa na cha maendeleo jinsi ya kupata pesa na iwe yako na familia yako tu!
Sio ya kwenda kuwa jengea watu wa kijijini au kusomesha ndugu zako, YAANI ACHANA NAO KABISA!
 
Huna hela wewe tangulini mwenye hela hakashindwa kumsaidia nduguye

Usie saidia ndugu ndio mwenye hekima!
Sio kama migegereka kila mtu ana taka kuwa juu!
Waachie wakae chini yako sana
Tena kama wako kijijini usiwalete mjini labda usikie kwamba ni mgonjwa tu ndipo utamsaidia!
Tuamke tuchangamke tusiwe wajinga.
Kama uko abroad kaa hukohuko na family yako!
Sio mambo ya kuwa tajirisha Western Union na wengine wengi!
 
Back
Top Bottom