Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
ww uliyesoma kwa kuchangiwa ada ya masomo una haki hyoHivi kweli kuna haja ya kuuliza kama kusaidia ndugu ni wajibu ?! Ni wajibu na lazima, huwezi acha kuwasaidia ndugu zako na unawajibika kufanya hivyo. Kwani wao hawana wajibu wa kukusaidia wewe?
mm nimesoma kwa hela za baba na mama yangu na cjawahi changiwa hata mia ya ndugu ...nitasaidia hao wazazi ila c ndugu yyte ...
maana najua kuwa hata leo hii MUNGU akinichukua hakuna wa kunisaidia familia ni mke wangu atapambana na familia