Kusaidiana kwenye ndoa...


kazi kweli kweli


hadanganywi mtu weweee shauri yako............

Huu uzungu huu utamkosa shemeji mi nipo kama fisi vile

yeye mwenyewe mzungu.....
endelea kusubiri na ufisi wako si tunasonga mbele tu...........
 
yeye mwenyewe mzungu.....
endelea kusubiri na ufisi wako si tunasonga mbele tu...........

Lakini umesahau kuwa wewe ni mweusi unataka ujifanye mzungu haya bana yatakushinda.
 
ckushangai sana! kaka zangu nyie wachaga nawajua sana, ndio zenu hizo ukimsaida wife unaona kama umetawaliwa vile, esp wa marangu.

hapo umenena.swali kwa hao wanaodai hawawezi kufua eti ni wajibu wa mkewe... kabla hujaoa alikua anafua nani au ndo kusema mlikua hamvaii.. ubabe wa kijinga.huko ni kutojali. yani nyie ndo wale ambao mkiugua mnataka hata mtafuniwe msosi wakati akiumwa mkeo hata kumpa maji ya kunywa unatafuta jirani aje kusaidia. mbona hamsemi kuzama humo msamehewe.kutwa kucha mnasaka uvungu. afu eti kufua kinachofunika ndo mtu aseme atamlamba mkewe makofi. ujinga mtupu
 
Kwani kazi ya mwanamke ni ipi na kazi ya mwanaume ni ipi ndani ya nyumba tuwekane bayana.
 


hebu jamani jaribu kuwa gentleman kidogo.
 
Tatizo hawapendi kuukubali huu ukweli. Wameshaikimbia thread ngoja niwafukuzie walipohamia

Utakuja ambiwa ufue hadi skin taiti na khanga ukimaliza uoshe vyombo na upige deki yeye anaenda saloon
Litakuwa balaa na mwisho wa dunia utafika

Huu uzungu huu utamkosa shemeji mi nipo kama fisi vile
Halafu ataanza kulalamika hapendwi.
 
Big up Kisasangwe, wanataka kutupandia kichwani hawa lol!
 
Lakini umesahau kuwa wewe ni mweusi unataka ujifanye mzungu haya bana yatakushinda.

sasa kumbe ulivoniambia uzungu ulimaanisha nini wakati unajua mie mweusi............
 
Yeah, rare i agree. You are of your own type, disrespectiful of women, humiliator and bossy. Real men dont do that.

ooh mama yeeyo ndo maana nkamwambia angekua na mutu kama mimi angeshaipata khabari yake. REAL men wanajali sana. i pit his wife au gf kama hajaoa
 
Kwani kazi ya mwanamke ni ipi na kazi ya mwanaume ni ipi ndani ya nyumba tuwekane bayana.
Being a full-time mother is one of the best salaried jobs...since the payment is pure LOVE
Hiyo ni signature ya Kisasangwe, hope you get some hints.
 
sasa kumbe ulivoniambia uzungu ulimaanisha nini wakati unajua mie mweusi............

Tabia za kizungu kumwambia mwenzio afue sindiria afue kufuli zako afue kanga zako afue nanihii na akate nanihiino
 
Being a full-time mother is one of the best salaried jobs...since the payment is pure LOVE
Hiyo ni signature ya Kisasangwe, hope you get some hints.

Hapo wizi mtupuuuuuu hakuna kitu hapo.
 
Mapenzi ni kusaidiana.hakuna shida kumsaidia mkeo kupika au kufua.Tatizo ni mfume dume umetutawala.Watanzania tunazaliwa na STEREOTYPES za kuwa kuna kazi za kike na za kiume.Huo uongo tunajengewa toka watoto na tunakuwa nao.Kuna familia wanazaliwa watoto wa kiume tupu na mbona wanafanya hizo kazi za kupika na usafi?tubadilike jamani
 
Tabia za kizungu kumwambia mwenzio afue sindiria afue kufuli zako afue kanga zako afue nanihii na akate nanihiino

ooooh my am tired!!!!!!!!!!!
thank God you wont be my husband...............
 

Kabla sijaoa kulikuwa na vibinti kama vinne hivi nilikuwa navipanga bila ya vyenyewe kujua. Kila kimoja nilikuwa nakiita waifu tu bii. Chenye zamu ya kunihudumia lazima kifanye usafi wa kila kitu ikiwemo makufuli. Baada ya kuchoka mambo hayo ndo nikaamua kuweka ndani mai waifu ambaye katika mkataba wetu mojawapo ya makubaliano yetu ni kunifulia makufuli mpaka kifo kitutenganishe.
 
ooh mama yeeyo ndo maana nkamwambia angekua na mutu kama mimi angeshaipata khabari yake. REAL men wanajali sana. i pit his wife au gf kama hajaoa

Heee kumbe wewe ni she/he! mmh
Jalini waume zenu kama unaweza jaribu kumuogesha siku za week end akienda kula bia awe anakuwaza home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…