Kusaidiana kwenye ndoa...

ooooh my am tired!!!!!!!!!!!
thank God you wont be my husband...............

Yaani ukidondokea mikononi mwangu wewe utaonja utamu wa dunia nitakusaidia mpaka kufua kufuli.
 

na ulivokuwa ngiliboru ulikuwa una nunua dispossable unataka kusema??
 

tubadilike lakini with a health mind, sio tuuingie u-beijing kichwakichwa.............. tena ubeijinga hadi kitandani................ bado kuna ndoa hapo????????????................
 
oh gracious lord, lets pray.
 
Heee kumbe wewe ni she/he! mmh
Jalini waume zenu kama unaweza jaribu kumuogesha siku za week end akienda kula bia awe anakuwaza home.

Mpwa hebu angalia nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti.
Baridiiiiiii baridiiiiiii
Alamba alamba ammmmm ammmmm!
 
Yaani ukidondokea mikononi mwangu wewe utaonja utamu wa dunia nitakusaidia mpaka kufua kufuli.
hahaaaa unaona sasa......
upendo sasa huo..........thats wat we are talking about!!!
 
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.


nicheke au nipige kelele za shangwe mieeeeeeeeeeeeeeeeeeh
wat a point mamiii!!!!!!!!
 
Mpwa hebu angalia nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti.
Baridiiiiiii baridiiiiiii
Alamba alamba ammmmm ammmmm!
ndugu yangu mbona tunanyanyapaliana?????πŸ˜€πŸ˜€
 

big up sana mkuu.....................

tena hiyo ya bold ni implied term, yaani hata ikisahaulika lazima iheshimiwe hmpaka kifo kitakapowatenganisha......................... yes, thats what we mean...............
 
yani wewe ndo hujuii.hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
we acha wafanye mapenzi kama geshi ra wananchi wa tarime, yani nikisema nyumaa geuka, unageuka bila kuuliza why? Kufanya nini?
 
na ulivokuwa ngiliboru ulikuwa una nunua dispossable unataka kusema??
Hahaha! Wakati huo nilikuwa hata sijui kutongoza. Saa nyingine kufuli namtupia sista ana-do the needful.
tubadilike lakini with a health mind, sio tuuingie u-beijing kichwakichwa.............. tena ubeijinga hadi kitandani................ bado kuna ndoa hapo????????????................
Hapo ndo naposhindwa kuwaelewa hawa binadamu.
oh gracious lord, lets pray.
Amen! hallelluyah! Umeelewa sasae?
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
Kufua kufuli ndo kikorombwezo cha mapenzi? OMG!
 
Ndoa ni maelewano hata kupendana kulitokea maelewano fulani baina yenu kwa hiyo sidhani kufuliana vitasa kama kukiwa na maelewano kutaleta shida, ni hayo tu.
 
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.

Bora niendelee kuto jua maana vinakera na sivipendi navyo chumbia lazima niweke wazi mambo kama haya asije akaanza kuniletea ubeijing wkt mm ni mbantu original alafu Mndengeleko.
 
oh gracious lord, lets pray.

yes............... lets pray........................... you are a woma nad i am a man............ and it is our lives........................ let it be so............ amen.................
 
we acha wafanye mapenzi kama geshi ra wananchi wa tarime, yani nikisema nyumaa geuka, unageuka bila kuuliza why? Kufanya nini?

hehehehe kujiexpress mama mwendo mdundo raha jipe mwenyewe mama usitegemee n'tu akupe raha.
 
Mwanaume hana khaki ya kufua nguo ya mke wake kikwetu ni dhambi hata dini pia

Original Pastor ..maneno na matendo yako mbona vinatofautiana sana ..
Umekaa kama liafande la police ..lakini jina lako la Mpendwa katika bwana .πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…