Kusaidiwa kwa silaha za kivita, inamaana kuwa Mrusi anatambo nyingi kuliko uhalisia?

Kusaidiwa kwa silaha za kivita, inamaana kuwa Mrusi anatambo nyingi kuliko uhalisia?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kuna mjinga atasema kwamba, hata Ukraine anasaidiwa kifedha na silaha lukuki! Ni ujinga tu!

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakalooyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma.

Mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja kwa moja yakaanza kutoa ufadhili wa silaha na fedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin na hawezi fanya chochote mpaka hapa!

Sasa najiuliza, Putin kukaa akiomba apewe misaada ya silaha za kivita, ni kuonyesha udhaifu na pia hana silaha za kutosha?

Mbona anataka kuishiwa silaha kwa muda mfupi kiasi hicho na wakati mataifa yenye ubabe na nguvu kubwa za kijeshi huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power?

Au ni ushamba tu!
 
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Kumbuka huyo Russia anajitengenezea silaha za kila Aina.
 
Russia taifa la magumashi sana huenda ikawa izo nuke zilizo active ni chache sana , sasa hivi amepata nguvu ya Iran na belaruz ila bado kwenye field hakuna jipya ,ukiona wazungu wamekaa kimya ujue kuna kubwa litatokea tutegemee hiivita kuwa ngumu kwa Putin
 
Ni kwanini USA ananunua silaha kutoka kwa nchi nyingine rafiki i.e NATO?Ni kwanini USA hua anauziwa silaha na Israel?

Hii inamfanya USA kua superpower wa mchongo.
Kama zipi US anaagiza?

4 Kati ya top 5 ya manufacturers wa vifaa vya kijeshi ni marekani duniani.


Lockheed Martin
Boeing
Raytheon
BAE (UK)
Northrop Grumman


Unataka kusema nini wewe...?
 
Kama zipi US anaagiza?

4 Kati ya top 5 ya manufacturers wa vifaa vya kijeshi ni marekani duniani.


Lockheed Martin
Boeing
Raytheon
BAE (UK)
Northrop Grumman


Unataka kusema nini wewe...?
Kwamba unakataa US haagizi silaha nje ama unataka kusema nn!!?

Hakuna aliokataa kama US hatengenezi silaha

Kwan hata mafuta si anazalisha na bado ananunua tuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Russia taifa la magumashi sana huenda ikawa izo nuke zilizo active ni chache sana , sasa hivi amepata nguvu ya Iran na belaruz ila bado kwenye field hakuna jipya ,ukiona wazungu wamekaa kimya ujue kuna kubwa litatokea tutegemee hiivita kuwa ngumu kwa Putin
Ngumu kwa mabeberu,tawala zao nyingi zipo kwenye migogoro ya ndani na mipasuko mikubwa,ila ikiwa unazi amini media zao inakisiwa Matango pori balaa,mwisho uzalisha hata tango sumu🚶
 
Ni kwanini USA ananunua silaha kutoka kwa nchi nyingine rafiki i.e NATO?Ni kwanini USA hua anauziwa silaha na Israel?

Hii inamfanya USA kua superpower wa mchongo.

Ni kwanini US anaziuzia silaha hizo nchi? Its more of business aspect, maana ni vice versa. Na yeye anauza probably ana export silaha nyingi kwao kuliko anazo nunua kwao
 
Back
Top Bottom