Kusaidiwa kwa silaha za kivita, inamaana kuwa Mrusi anatambo nyingi kuliko uhalisia?

Kusaidiwa kwa silaha za kivita, inamaana kuwa Mrusi anatambo nyingi kuliko uhalisia?

Ngumu kwa mabeberu,tawala zao nyingi zipo kwenye migogoro ya ndani na mipasuko mikubwa,ila ikiwa unazi amini media zao inakisiwa Matango pori balaa,mwisho uzalisha hata tango sumu🚶
Acha fix
 
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Huyo unaeaminishwa supa pawa mbona haendagi peke yake kwenye battle filed? Vipi ana uwezo mdogo?
 
Na mimi nashangaa kuona kuna watu wanasema Mrusi anapigana na Ukraine, wakati Ukraine yenyewe ina kiri Nato wako nao Bega kwa Bega.

US na Nato wanaona Mrusi anawaibisha sa wanatoa kisingizio eti Iran inamsaidia, ok hata kama ni kweli kwani wao wanasaidiwa mbona mpaa na Japan Mwacheni na Mrusi asaidiwe mnalalamika nini sasa.

US hawezi vita mpaa alalamike alidhani Mrusi watamuweza kwa kupigana naye kutumia jina la Ukraine.
 
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Ni ushamba tu. Mrusi na wanaomshabikia ni washamba.
 
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Huliwah kujiuliza kwanini Marekan anapopigana katika vita huwa hawi pekeeake lazima ashawishi washirika wake ndipo anaingia mzigon akiwa na washirika wake? Sio Libya, Sio Iraq kote alienda na NATO? Ata hapo Ukraine kwanini anakerekwa sana akiona mataifa ya Ulaya yanasita kupeleka siraha Ukraine, basi ujue ingekuwa yeye pekeake ndo anamsadia Ukraine angeshindwa Stock yake ingekuwa ishakata, na mpaka sasa licha ya yote stock ya ya siraha USA iko ukingonu kwasasa
 
Silaha nyingi anazosaidiwa Mrusi ni zile ambazo hana ujuzi nazo wa kutosha hususani ndege zisizo na rubani (drones).

Urusi imekuwa na mikataba mikubwa ya silaha na nchi kama Israel inayohusisha ununuzi wa drones, lakini kwa sababu ya vikwazo vya kiuchumi, biashara inashindikana, hivyo inawalazimu kutafuta 'shortcuts' za kupata hizo silaha.
 
Silaha nyingi anazosaidiwa Mrusi ni zile ambazo hana ujuzi nazo wa kutosha hususani ndege zisizo na rubani (drones).

Urusi imekuwa na mikataba mikubwa ya silaha na nchi kama Israel inayohusisha ununuzi wa drones, lakini kwa sababu ya vikwazo vya kiuchumi, biashara inashindikana, hivyo inawalazimu kutafuta 'shortcuts' za kupata hizo silaha.
Unadhani aliwapoitangazia dunia kuwa atayeingilia mgogoro hua atakipata, hakufahamu kuwa hana baadhi ya silaha mhimu kama hizo?

Piga picha,

Inamaana silaha anazosaidia, kusingetokea asaidiwe angeinua mikono juu Kwa Ukraine Kwa sasa ishara ya kusalenda.?
 
Mbona hatusikii habar ya father of all bombs
(FOAB) maana huu mdude miaka ya 2007 mruss aliutangaza sana .Russia aliuunda ili kushindana na mother of all bombs MOAB ya US ,US walitilia shaka sana uwezo wa hilo bom.Wakaenda mbali wakasema ni propaganda.Sasa tunataka mrusi alitumie maana akiachia matatu tuu hapo kherson leo asubuh wanakunywa vodka.Maana hili bom ni non-nyuklia .Hivyo hakuna atakayemlaumu.Au tuanze kuamini Russia ni wazee wa magumashi.
 
Urusi
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Urusi ina nunua,haisaidiwi,alafu inanunua ili ikitokea vita vimeanza Kati yake na NATO,awe ana silaha za kutosha pia anachanganya technology kwamba NATO wamezoea drones zake,sasa anapoleta silaha geni,mpaka wake kuzijulia atakuwa amewaumiza vibaya,mfano drones lran zimeleta maafa makubwa Ukraine wanashindwa kuzikabili mpaka sasa
 
Kuna mjinga ata comment eti Kwa nini Ukraine anasaidiwa!?

Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakaloonyesha nia tu ya kuingilia mgogoro huo litachezea za moto bila huruma,

Sasa, jeuri ya mataifa makubwa hayakuogopa tahadhari zake, moja Kwa moja yakaanza kutoa ufadhiri wa sraha na kifedha juu ya taifa la Ukraine na hakuna alichokifanya Putin

Sasa najiuliza, Putin kuruhu apewe misaada ya siraha za kivita, ni kuonyesha kaishiwa?

Mbona anataka kuishiwa siraha Kwa muda mfupi kiasi hiko na wakati mataifa yenye ubabe Mkubwa huendesha operations zake za kivita zaidi hata ya miaka 20 huko?

Leo yeye tunazungumzia miezi mitano tu anaanza kulialia apewe misaada ya kivita, huyu kweli anastahili kuitwa ni super power.?

Au ni ushamba tu!
Putin ajaomba msaada wa silaha za kivita ila uongoz wa nchi wenyewe ndo umeamua kuungana nao na hizo drone za kivita ni new model na ndo maana marekani inabadhiri kuwa aina hiyo inawezakuwa imetoka Iran na ndipo hao kukanusha hivo Haina maana kuwa silaha zimeisha Kwa vita ipi sasa bomu tu ndo silaha ziishe haipo hvo.
N.b nadhani Bado hata Putin ajagusa hmala ya silaha
 
Putin ajaomba msaada wa silaha za kivita ila uongoz wa nchi wenyewe ndo umeamua kuungana nao na hizo drone za kivita ni new model na ndo maana marekani inabadhiri kuwa aina hiyo inawezakuwa imetoka Iran na ndipo hao kukanusha hivo Haina maana kuwa silaha zimeisha Kwa vita ipi sasa bomu tu ndo silaha ziishe haipo hvo.
N.b nadhani Bado hata Putin ajagusa hmala ya silaha
Leo Ukraine ananza dai Mrusi anatumia silaha zailizo haramishwa, naona ni njia ingine ya kuisingizia Urusi.

Western na Ukraine wanapropoganda nyingi sana.
 
Hii yote ni kutokana na Russia kufanya mashambulizi mfululizo!Tatizo upande wa pili mnalialia sana,mkipelekewa taratibu mnavimba vifua,mkipelekewa moto mnaanza kulialia!
Russia ananunua silaha,hasaidiwi!
Hii SMO haijulikani itaisha lini,so Russia anajihadhari asitumie mzigo wake mwingi!Lakini pia anaweka akiba silaha zake Incase of escalation!
US na NATO wote wanampa silaha Ukraine,nchi zaidi ya 30!Sasa unataka Russia akomae na silaha zake tu?Mbona US hajauvaa mzigo wa uKraine mwenyewe?
 
Unadhani aliwapoitangazia dunia kuwa atayeingilia mgogoro hua atakipata, hakufahamu kuwa hana baadhi ya silaha mhimu kama hizo?

Piga picha,

Inamaana silaha anazosaidia, kusingetokea asaidiwe angeinua mikono juu Kwa Ukraine Kwa sasa ishara ya kusalenda.?
Kusalenda kwa namna ipi?

Nilisema tangu awali humu kwamba, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ni technically infeasible na utakumbana na strategic failures nyingi sababu ya kutokuzingatia masuala mbalimbali muhimu ya kijeshi na kiraia.

Baadhi ya mapungufu na madhaifu ya kijeshi ambayo yameonekana kuanzia strategy, logistics na kadhalika yamesemwa hata na baadhi ya wanasiasa, wabunge na viongozi wa Urusi ingawa kauli hizo hazijawa amplified na vyombo vyao vya habari kwa sababu ambazo zinajulikana vizuri tu.
 
Uko sahihi kaka
Hii yote ni kutokana na Russia kufanya mashambulizi mfululizo!Tatizo upande wa pili mnalialia sana,mkipelekewa taratibu mnavimba vifua,mkipelekewa moto mnaanza kulialia!
Russia ananunua silaha,hasaidiwi!
Hii SMO haijulikani itaisha lini,so Russia anajihadhari asitumie mzigo wake mwingi!Lakini pia anaweka akiba silaha zake Incase of escalation!
US na NATO wote wanampa silaha Ukraine,nchi zaidi ya 30!Sasa unataka Russia akomae na silaha zake tu?Mbona US hajauvaa mzigo wa uKraine mwenyewe?
Uko sahihi kaka wanaona kama wanacheleweshwa but Russia Kuna kitu inasubiri hvo acha Ukraine waendelee kulialia tu
 
Back
Top Bottom