kusema ukwel utakuwa umenisalit mana kitendo chakutoka nje ya ndoa bila lidhaa c kitendo kzur hata kama ungeniomba ruhusa bado pia kisingekuwa kitendo kizur hvyo inekuwa umenisalit kwanza kwanini utoke nje ya ndoa?
Usiwe na wasiwasi Chelle wangu, Hapo nilikuwa namuonesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kukamatwa ukiwa makini......Ila wewe mjanja zaidi yangu bana, kwa hyo sithubutu laaziz.kazi kweli kweli....kutokukamatwa ni kitu cha kupongezwa zama zenu hizi watoto wa ki leo....
Usiwe na wasiwasi Chelle wangu, Hapo nilikuwa namuonesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kukamatwa ukiwa makini......Ila wewe mjanja zaidi yangu bana, kwa hyo sithubutu laaziz.
you two a pair already?:rain: