kusaliti penzi.

kusaliti penzi.

kusema ukwel utakuwa umenisalit mana kitendo chakutoka nje ya ndoa bila lidhaa c kitendo kzur hata kama ungeniomba ruhusa bado pia kisingekuwa kitendo kizur hvyo inekuwa umenisalit kwanza kwanini utoke nje ya ndoa?
 
jamani kuuliza au kutoa hoja haimaanishi unatetea unachokifanya, hoa au mada nyingine ni observation tu.sasa inabidi kuuliza.manake naona wananchi wanakua wakalikweli hapa.
 
kusema ukwel utakuwa umenisalit mana kitendo chakutoka nje ya ndoa bila lidhaa c kitendo kzur hata kama ungeniomba ruhusa bado pia kisingekuwa kitendo kizur hvyo inekuwa umenisalit kwanza kwanini utoke nje ya ndoa?

mfano upo mbbali kikazi, nikazidiwa maganzi, si nawezatu kumalizia sehem af ukija penzi lipo palepale.
 
Tasia I, jibu lipo kwenye title ya topic yako hapo juu.
 
kazi kweli kweli....kutokukamatwa ni kitu cha kupongezwa zama zenu hizi watoto wa ki leo....
Usiwe na wasiwasi Chelle wangu, Hapo nilikuwa namuonesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kukamatwa ukiwa makini......Ila wewe mjanja zaidi yangu bana, kwa hyo sithubutu laaziz.
 
Usiwe na wasiwasi Chelle wangu, Hapo nilikuwa namuonesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kukamatwa ukiwa makini......Ila wewe mjanja zaidi yangu bana, kwa hyo sithubutu laaziz.

you two a pair already?:rain:
 
Mkuki kwa nguruwe, ..................!
Hapo ni wewe ndo umeamua kupunguza hayo maganzitu nje, piga picha sasa mwenzio ndo anafanya ivo.
Utaichukuliaje? (Ndo jibu lenyewe)
 
kwani ukiwa na rafiki yako mmekubaliana kula nanasi moja wote wawili, na baadae mwenzako akaenda kwingine kula chungwa akakuacha hapo umeshikilia nanasi si atakua amekusaliti ahadi yenu ya kala nae. hata kama utarudi kuendelea kula, cha kujiuliza kule ulifata nini na wakati tunda hata kwako lipo.na hata kama halina ladha hiyo labda baada ya nanasi mngekula chungwa na hata embe,we ukachepuka bila kuaga. NI USALITI.
 
Tasia Tabia yako ya kula wake Za watu subiri utakapo F8888wa ndo utapata jibu zuri!
 
Back
Top Bottom