Mimi ni mtanzania,lakini sifurahi huu ujinga,Kenya ni majirani zetu wazuri sanaAkili mbovu za baadhi yenu zinajidhihirisha pale mtu anapofurahia anguko la jirani yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mtanzania,lakini sifurahi huu ujinga,Kenya ni majirani zetu wazuri sanaAkili mbovu za baadhi yenu zinajidhihirisha pale mtu anapofurahia anguko la jirani yake.
Hii ndio ile Geza huitwa Debe la Chang'aa [emoji23] kumbe mnalitambua hadi mkalitumia kwa picha yenu?
Wewe mpuuzi unajua kwanini Kenya ilikuwa inakuwa inauza madini ya tanzanite kuliko tz ? Pia unajua AJENDA ILIYOKUA KWENYE "COW"Mimi ni mtanzania,lakini sifurahi huu ujinga,Kenya ni majirani zetu wazuri sana
wewe utakuwa mmoja ya watz wenye akiliMimi ni mtanzania,lakini sifurahi huu ujinga,Kenya ni majirani zetu wazuri sana
COW ilifanya nigundue sura halisi za hawa majirani zetu shukrani za dhati ziende kwa JK na team yake na sasa wacha JIWE awasomeshe namba tuWewe mpuuzi unajua kwanini Kenya ilikuwa inakuwa inauza madini ya tanzanite kuliko tz ? Pia unajua AJENDA ILIYOKUA KWENYE "COW"
Kwa sisi tuliokulia kanda ya Ziwa tunaelewa jinsi Kenya ilivyotusaidia,miaka hiyo kuja huko kwenu Dar au Arusha ilitubidi kupitia Kenya la sivyo ilitulazimu kutumia siku zaidi ya Tatu kufika hapo tu Dar,Kenya ya wakati huo wala hawakuwa na ujinga huu wa kuzodoana kijinga kama mnavyofanya,miaka hiyo ndala,viatu vya bata ilikuwa mkombozi kwetu,Kenya kwa kiasi kikubwa pamoja na SA imesaidia sana kuinua uchumi wa nchi hii hasa baada ya raisi mwenye akili Mkapa kujua umuhimu wa kushirikiana na nchi zenye akili,Tanzania tunawahitaji sana majirani zetu kama wao wanavyotuitaji pia,hii akili ya ujamaa haitatusaidia chochoteCOW ilifanya nigundue sura halisi za hawa majirani zetu shukrani za dhati ziende kwa JK na team yake na sasa wacha JIWE awasomeshe namba tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sisi tuliokulia kanda ya Ziwa tunaelewa jinsi Kenya ilivyotusaidia,miaka hiyo kuja huko kwenu Dar au Arusha ilitubidi kupitia Kenya la sivyo ilitulazimu kutumia siku zaidi ya Tatu kufika hapo tu Dar,Kenya ya wakati huo wala hawakuwa na ujinga huu wa kuzodoana kijinga kama mnavyofanya,miaka hiyo ndala,viatu vya bata ilikuwa mkombozi kwetu,Kenya kwa kiasi kikubwa pamoja na SA imesaidia sana kuinua uchumi wa nchi hii hasa baada ya raisi mwenye akili Mkapa kujua umuhimu wa kushirikiana na nchi zenye akili,Tanzania tunawahitaji sana majirani zetu kama wao wanavyotuitaji pia,hii akili ya ujamaa haitatusaidia chochote
Kwa sisi tuliokulia kanda ya Ziwa tunaelewa jinsi Kenya ilivyotusaidia,miaka hiyo kuja huko kwenu Dar au Arusha ilitubidi kupitia Kenya la sivyo ilitulazimu kutumia siku zaidi ya Tatu kufika hapo tu Dar,Kenya ya wakati huo wala hawakuwa na ujinga huu wa kuzodoana kijinga kama mnavyofanya,miaka hiyo ndala,viatu vya bata ilikuwa mkombozi kwetu,Kenya kwa kiasi kikubwa pamoja na SA imesaidia sana kuinua uchumi wa nchi hii hasa baada ya raisi mwenye akili Mkapa kujua umuhimu wa kushirikiana na nchi zenye akili,Tanzania tunawahitaji sana majirani zetu kama wao wanavyotuitaji pia,hii akili ya ujamaa haitatusaidia chochote
Mfano wako unaonyesha ni jinsi gani ulivyo mjinga,kwa hiyo Kenya ndo walisababisha tuchelewe kujenga barabara ya Mwanza Dar mpaka kutulazimu kupitia Kenya ili ufike Dar,umoja ni nguvu na utengano ni udhaifuNchi ikiwa na mjingaa mmoja kama wewe ni harasa kubwa sana tena sana hapo ni sawa sawa na kuwa shukuru wazungu Kwa kutupatia ARV dawa za ukimwi bila kujua kuwa wao ndiyo walio tuletea ili gonjwa na kulitungia Sera na mikakati ya kulisambaza Kwa kupitia ejiooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatumtaki huyo Mkuu, tena huku hawezi kabisa. Akileta udikteta uchwara kitanuka!Hatuwez wapa raisi wetu, Wachukue sumaye
Sasa mbona asilimia kubwa ya wakenya wanampenda na wanamtamani rais wetuHatumtaki huyo Mkuu, tena huku hawezi kabisa. Akileta udikteta uchwara kitanuka!
Huo utafiti ulifanyika lini na wapi?Sasa mbona asilimia kubwa ya wakenya wanampenda na wanamtamani rais wetu
Hivi kwanini wakenya msiingie barabarani kama Sudan na nchi za Arabuni?, punguzeni woga mtaendelea kuumia, poleni sana majirani
R. I. P. Kenyan economy.
Kupitia social media, kila siku.Huo utafiti ulifanyika lini na wapi?
Kupitia social media, kila siku.
Hayo yote yanafahamika, na ni ukweli wakenya wengi wakiwemo wanasiasa wenu wanatamani wapate kiongozi kama JPM hadi wengine huwa wanapost video clips zake.Na mimi naomba nikupee yangu. This one here is the Tanzania 99% of Kenyans don't know about.![]()
Tanzania: Everyone is scared | African Arguments
In an unprecedented move, leaders from all sectors of society are speaking out about growing assaults on freedoms and political violence. On 16 February, Akwinlina Akwiline was on her way to university in Dar es Salaam. She was reportedly heading to the National Institute of Transport, where she...africanarguments.org
Niamini mkuu, Wakenya wachache sana ndio wana ufahamu na siasa zenu zinavyoendeshwa.Hayo yote yanafahamika, na ni ukweli wakenya wengi wakiwemo wanasiasa wenu wanatamani wapate kiongozi kama JPM hadi wengine huwa wanapost video clips zake.
Niamini mimi, wakenya wengi wanatamani kumpata Rais kama JPM.Niamini mkuu, Wakenya wachache sana ndio wana ufahamu na siasa zenu zinavyoendeshwa.
Ningetamani uwe Kenya, pick a random person muulize Naibu Rais wa Jamhuri ya Tz ni nani...hawafahamu!We're that ignorant!
Because they don't know the "real" Jiwe 😅Niamini mimi, wakenya wengi wanatamani kumpata Rais kama JPM.