Kusambaza cv ofisi mbalimbali hapa jijini

MMOJA

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
445
Reaction score
259
Wana Jf,hivi hii njia ya kusambaza cv ofisi mbalimbali hapa jijini kwa lengo la kutafuta kazi,hii njia ni sahihi kweli. Nasema hivyo kwa sababu mimi binafsi nimesambaza cv kwa wingi hapa D’salaam,lakini cha kushangaza sijajibiwa hata sehemu moja,ila hizi kazi zinazotangwaza nikituma cv na maombi angalau huwa naitwa kwenye usaili.Ninachojiuliza ni kwamba hii ya kusambaza cv kwenye maofisi kweli ni njia nzuri ya kuomba kazi?, Au kama kuna yeyote ambae amefanikiwa kwa njia hii?
 
mi naona watwangie one after another then, kamakuna chance wanakuita, lakini naiyo yako pia fanya hivyoivyo.
 
ziko njia nyingi sana za kutafuta kazi,hiyo ni mojawapo,ila ukitaka ufanikiwe kwa njia hiyo,jaribu kutafuta jina la boss,pitisha barua yako kwa secretary,na uiandike jina la boss wa hiyo ofisi unayotaka kwenda,na umwambie ni private,katika pitapita zangu nimegundua kuna watu wasiotakia wenzao heri,wakizipotezea CV za watu....hata walinzi sometimes hupotezea wakidhani hamna kazi,lakini anayejua wapi anahitajika ni boss tu...have confidence and try my trick.kama watakuuliza ni nini kipo ndani au una shida gani,waambie ni private,by labelling hiyo barua kwa exact name ya boss wataogopa kuifungua,na itaenda direct kwa boss,na unaweza ukajipatia interview and labda ukabahatika kupata kazi...kumbuka proffessional dresscode,whenever you are near the ofices,ukipeleka CV na cover letter au ukiitwa...huwezi jua,,,kila la kheri
 
Ajira kwa kweli ni tatizo duuuuuuuuuuh walinzi, ma secretary huwa ni kikwazo saana katika kutafuta kazi, wakuu nilienda pale TAHESA jamani kuna masecretary niliwakuta sijui maadili wamejifunzia wapi? wana nyodo wana dharau yaani wanaongea na watu kama vile unawatia kinyaa kwa kweli nawaombea rehema za Mungu
 
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
Aaamin mkuu
 

Nimeipenda sana hii njia yako, but just to ask, mfano kama una email ya bosi huyo then ukatuma CV direct kwenye email yake si itakuwa sawa na barua or hard copy ina matter kuliko email. Please your thoughts are required on this of email and hard copy letter
 
it may work too,ila kama uko karibu na hiyo ofisi bora upeleke kwa mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…