Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
Najua nilikukosea big time,umeni cut off hata simu zangu hupokei na PM ume block kupokea,kwa kuwa tulikutana humu jamvini,tena mmu specifically, hivyo nakuomba usome signature yangu hapo chini na kisha ujipime uko kundi gani la binadamu........