Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hii kauli imezoeleka sana na watanzania. Ukweli hii ni kumtukana Rais. Maana yake unasema kuwa Rais hawezi kung'amua ushauri mbaya na mzuri.
Kwamba wewe umeweza kuona ushauri mbaya aliopokea lakini Rais ana uwezo mdogo wa kutambua mambo hivyo amashindwa kujua zuri na baya!?
Wengi wanafikiri kwa kusema hivyo wanamtetea Rais lakini ukweli ni kuwa wanamtukanisha. Pengine labda waseme kuna watu wenye nguvu wanaomshinikiza Rais kufuata ushauri fulani mbovu, lakini kusema Rais anashauriwa vibaya inamjengea Rais picha mbaya.
Kwamba wewe umeweza kuona ushauri mbaya aliopokea lakini Rais ana uwezo mdogo wa kutambua mambo hivyo amashindwa kujua zuri na baya!?
Wengi wanafikiri kwa kusema hivyo wanamtetea Rais lakini ukweli ni kuwa wanamtukanisha. Pengine labda waseme kuna watu wenye nguvu wanaomshinikiza Rais kufuata ushauri fulani mbovu, lakini kusema Rais anashauriwa vibaya inamjengea Rais picha mbaya.