''Chuo Cha Muhimbili'' Tatizo Mshahara ni Mdogo Ukilinganisha na Professional yenyeweWaambie hao wanaodhani kuna vyuo bora kuliko vingine kwamba ukisoma hapo ajira ni uhakika asilimia mia moja.
we doctor wa ngombe 2, hakuna cha koz ya kiume wala nini!
najivunia kuwa mwanasua tea kozi ya kiume BVM
Ningekushauri usome MD hiyo unayoiita kozi ya kiume subiri uingie mtaani ndio utajua maharage siyo mboga ni dawa ya USINGIZI... Nadhani ulikosa CAREER DEVELOPMENT ADVISOR... napita tu...
hapooo!tunaangalia factor1 tu,elimu bora na c bora elimu,kibongobongo ushansoma???Harvard university, Yale university then University of Dar es salaam, Dodoma University na Dar Es Salaa Institute of Technology unadhani yupi atapewa kipaumbele? kuna vyuo ni lulu madogo acheni kujijaza upumbavu.........:director:
Ningekushauri usome MD hiyo unayoiita kozi ya kiume subiri uingie mtaani ndio utajua maharage siyo mboga ni dawa ya USINGIZI... Nadhani ulikosa CAREER DEVELOPMENT ADVISOR... napita tu...