NakaziaShinda kwanza mkuu
Umewahi shinda mkuuUkishinda wapi? Nani akupigie simu?, km umeshinda million 180,000,000 utaombwa namba ya a/c ya bank km utataka kwenda ni hiari sio lazima Ila Board inachukua 20,000,000
Km umeshinda Billion 4 na million 500 pia utapigiwa simu kuombwa namba ya a/c ya bank Ila board inachukua million 500, umeshinda wapi? Kwenda kuonekana sio lazima ni hiari yako
Umeshinda wapi?
Ndio mara kadhaaUmewahi shinda mkuu