Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Nafikiri watu bado wanapenda Simba na Yanga, lakini vilabu na menagement ya soka kwa ujumla ndio inayowaangusha. Soka la nyumbani likifanya vizuri utashangaa mashabiki na wakereketwa wametokea wapi, si unakumbuka miaka ile Simba ilipofanya vizuri kwenye kombe la Africa, nchi nzima ilizizima kwa ushangiliaji. Kwa sasa watu wamechoka kushabikia madogori, bora wajiliwaze na EPL, La liga, Bundesliga nk.