Julius Magembe
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 284
- 394
Sasa unataka kuwapangia maisha?
Wewe Magu akija na kufunga JF hapa akisema mnajadili mada ambazo hazina maadili ya Kitanzania utasemaje?
Wenzako wakikwambia wanajiepusha na michepuko na magonjwa, na hiyo ndiyo njia bora kabisa, utasemaje?
Live and let live!