Kusherehekea Birthday yake GSM atoa tsh million 60 kujenga Kituo cha Afya cha Kibaigwa!

Kusherehekea Birthday yake GSM atoa tsh million 60 kujenga Kituo cha Afya cha Kibaigwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mfanyabiashara maarufu nchini Ghalib Said Mohamed ( GSM) akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa ametoa tsh million 60 kujengea dispensary ya Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma ambako ni makao makuu ya Nchi

Source: Ayo TV

Mungu wa Mbinguni mbariki GSM 🌹
 
Mfanyabiashara maarufu nchini Ghalib Said Mohamed ( GSM) akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa ametoa tsh million 60 kujengea dispensary ya Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma ambako ni makao makuu ya Nchi

Source: Ayo TV

Mungu wa Mbinguni mbariki GSM 🌹
Ndio vyema ukitoa unaongezea amlipe na okrah magic pesa zake!
 
Back
Top Bottom