johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mfanyabiashara maarufu nchini Ghalib Said Mohamed ( GSM) akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa ametoa tsh million 60 kujengea dispensary ya Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma ambako ni makao makuu ya Nchi
Source: Ayo TV
Mungu wa Mbinguni mbariki GSM 🌹
Source: Ayo TV
Mungu wa Mbinguni mbariki GSM 🌹