johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio vyema ukitoa unaongezea amlipe na okrah magic pesa zake!Mfanyabiashara maarufu nchini Ghalib Said Mohamed ( GSM) akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa ametoa tsh million 60 kujengea dispensary ya Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma ambako ni makao makuu ya Nchi
Source: Ayo TV
Mungu wa Mbinguni mbariki GSM πΉ
Msomali lazima atachukua jimbo la KongwaKama namuona yule mbilikimo wa Kigogo alivyofura kwa hasira anaona jimbo hilooo kwa Msomali.
Rostam Aziz alisaidia Vifaa vya Kwaya Kuu pale Kanisani kwenu Kinondoni ππHuyu jamaa hata kama anaiba lakini anajali wanyonge sn, huwezi kuona MO au Rostam Azizi anasaidia jamii
Mo foundation unaijua? Au mgeni humuHuyu jamaa hata kama anaiba lakini anajali wanyonge sn, huwezi kuona MO au Rostam Azizi anasaidia jamii
Yaani wewe ni muongo, mwaka gani?Rostam Aziz alisaidia Vifaa vya Kwaya Kuu pale Kanisani kwenu Kinondoni ππ
Imetoa nini?Mo foundation unaijua? Au mgeni humu
Kumbe hata hili hulijui?Yaani wewe ni muongo, mwaka gani?
Tukutuku za Kigwangalla πImetoa nini?
Alinyimwa hakuwa na helaTukutuku za Kigwangalla π
Taja mwakaKumbe hata hili hulijui?
Basi humfahamu Rostam Aziz wewe π
Hakika abarikiwe sanaNi jambo jema.