Kusherehekea sikukuu ndani ya nchi yako kuna raha yake

Kusherehekea sikukuu ndani ya nchi yako kuna raha yake

Bonheur Travels Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
252
Reaction score
499
Ni raha sana kusafiri kwenda likizo nchi za nje na kutalii. Lakini kuna raha pia kama utaweza kwenda maeneo ambayo hujawahi kufika hapa hapa bongo.

Kwa mfano, Tanzania siku hizi imebadilika sana. Kuna sehemu nyingi sana unaweza kwenda kwa bajeti ndogo na ukafurahia sana moments ukiwa mwenyewe au na umpendae/uwapendao.

Kwaresma na Eid ziko njiani. Mpango wako ukoje?
 
Mfano mzuri ni hapo Zanzibar. Ukiwa na bajeti ya shilingi 160,000/= tu unaweza kufikia beach hotel nzuri sana na ukaenjoy mandhari kwa siku 3 hadi 4 bila malipo ya ziada.

Starehe wala sio gharama. Ni mipango tu.
 
Kwa upande wetu, sisi tumeandaa package hii kwa Zanzibar.

Hapo utakacholipia labda ni nauli na lunch tu. Lakini breakfast, dinner na moments za ufukweni zote zimo kwenye package kwa siku zote utakazokaa huko.

Kupanga ni kuchagua.

IMG-20220331-WA0013.jpg
 
Back
Top Bottom