Uchaguzi 2020 Kushinda jimbo la Kawe kwa 100%, CCM ifanye haya

Uchaguzi 2020 Kushinda jimbo la Kawe kwa 100%, CCM ifanye haya

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2019
Posts
8,685
Reaction score
12,000
Halima Mdee alimshinda Angela Kizigha mwaka 2010 kwa tofauti ya kura chache sana. 2015 kwa upepo wa Lowasa akamshinda warioba kwa tofauti ndogo sana.

Jimbo la Kawe kwa asilimia fulani linakaliwa na watu wa kipato cha kati. Mitaa kama Mzimuni, Mbezi Beach A na B hapa wanaishi watu wanaojikidhi kwa kiasi fulani.

Hii mitaa halima huwa hapati kura nyingi huwa anapata kura chache sana. Sehemu anazopata kura ni mitaa ya Ukwamani, hii mitaa imejaa kila aina ya wajuva.

Kwa kuwa Halima alimshinda Warioba kwa tofauti ndogo sana, ningeshauri Kippi Warioba agombee hili jimbo; nina uhakika atashinda kwa asilimia kubwa.

Kwa kuwa wapiga kura wengi wa Kawe hawamuoni Halima kama Kiongozi bali kama mwanaharakati.

Nimesikia mpango wa CCM kutaka kusimamisha wagombea ambao wanaushawishi mitandaoni naomba wasijaribu hili tutakipasua chama kuelekea Oktoba.

Kama Warioba alipata kura zaidi ya elfu tisini na uhakika atashinda kwa kishindo.

Tuirudishe CCM kwenye makali yake

Mh. Polepole na Dr. Bashiru zingatieni sana hili
 
Halima mdee alimshinda Angela Kizigha mwaka 2010 kwa tofauti ya kura chache sana. 2015 kwa upepo wa Lowasa akamshinda warioba kwa tofauti ndogo sana.

Jimbo la Kawe kwa asilimia fulani linakaliwa na watu wa kipato cha kati. Mitaa kama mzimuni, Mbezi Beach A na B hapa wanaishi watu wanaojikidhi kwa kiasi fulani.

Hii mitaa halima huwa hapati kura nyingi huwa anapata kura chache sana. Sehemu anazopata kura ni mitaa ya Ukwamani, hii mitaa imejaa kila aina ya wajuva.

Kwa kuwa Halima alimshinda Warioba kwa tofauti ndogo sana, ningeshauri Kippi Warioba agombee hili jimbo; nina uhakika atashinda kwa asilimia kubwa.

Kwa kuwa wapiga kura wengi wa kawe hawamuoni halima kama Kiongozi bali kama mwanaharakati

Nimesikia mpango wa CCM kutaka kusimamisha wagombea ambao wanaushawishi mitandaoni naomba wasijaribu hili tutakipasua chama kuelekea Oktoba.

Kama Warioba alipata kura zaidi ya elfu tisini na uhakika atashinda kwa kishindo.

Tuirudishe CCM kwenye makali yake

Mh. Polepole na Dr. Bashiru zingatieni sana hili
Acha Bangi
 
Yaani minne na miezi kadhaa unasifia tu na kuunga mkono juhudi halafu leo kabla ya miezi michache eti unatoa ushauri na unataka usikilizwe, wewe unakihujumu chama jamaa yangu..
 
Umeamua kumpigia kampeni Bw.kippi warioba

Aya kachukue buku 7

Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili wenye akili ndogo,mtu akitoa ushauri tu. Na kueleza ukweli utasikia buku 7. Hamna hoja za kuweza kujibu? Hoja hujibiwa kwa hoja, nilitegemea utasikia labda Halima amefanya hiki na hiki kwa watu wa Kawe hivyo atarudi tu mjengoni.
 
Jimbo la kawe sio mbezi beach na kawe ukwamani pekee. Kuna mikocheni, kunduchi, bahari beach, tegeta, boko, bunju, madale etc. Ni moja wapo kati ya majimbo makubwa kwa namba ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halima mdee alimshinda Angela Kizigha mwaka 2010 kwa tofauti ya kura chache sana. 2015 kwa upepo wa Lowasa akamshinda warioba kwa tofauti ndogo sana.

Jimbo la Kawe kwa asilimia fulani linakaliwa na watu wa kipato cha kati. Mitaa kama mzimuni, Mbezi Beach A na B hapa wanaishi watu wanaojikidhi kwa kiasi fulani.

Hii mitaa halima huwa hapati kura nyingi huwa anapata kura chache sana. Sehemu anazopata kura ni mitaa ya Ukwamani, hii mitaa imejaa kila aina ya wajuva.

Kwa kuwa Halima alimshinda Warioba kwa tofauti ndogo sana, ningeshauri Kippi Warioba agombee hili jimbo; nina uhakika atashinda kwa asilimia kubwa.

Kwa kuwa wapiga kura wengi wa kawe hawamuoni halima kama Kiongozi bali kama mwanaharakati

Nimesikia mpango wa CCM kutaka kusimamisha wagombea ambao wanaushawishi mitandaoni naomba wasijaribu hili tutakipasua chama kuelekea Oktoba.

Kama Warioba alipata kura zaidi ya elfu tisini na uhakika atashinda kwa kishindo.

Tuirudishe CCM kwenye makali yake

Mh. Polepole na Dr. Bashiru zingatieni sana hili

Ccm haina uwezo wa kushinda kwa kura mjini. Tume huru ya uchaguzi ndio itaweka kila kitu wazi.
 
Halima mdee alimshinda Angela Kizigha mwaka 2010 kwa tofauti ya kura chache sana. 2015 kwa upepo wa Lowasa akamshinda warioba kwa tofauti ndogo sana.

Jimbo la Kawe kwa asilimia fulani linakaliwa na watu wa kipato cha kati. Mitaa kama mzimuni, Mbezi Beach A na B hapa wanaishi watu wanaojikidhi kwa kiasi fulani.

Hii mitaa halima huwa hapati kura nyingi huwa anapata kura chache sana. Sehemu anazopata kura ni mitaa ya Ukwamani, hii mitaa imejaa kila aina ya wajuva.

Kwa kuwa Halima alimshinda Warioba kwa tofauti ndogo sana, ningeshauri Kippi Warioba agombee hili jimbo; nina uhakika atashinda kwa asilimia kubwa.

Kwa kuwa wapiga kura wengi wa kawe hawamuoni halima kama Kiongozi bali kama mwanaharakati

Nimesikia mpango wa CCM kutaka kusimamisha wagombea ambao wanaushawishi mitandaoni naomba wasijaribu hili tutakipasua chama kuelekea Oktoba.

Kama Warioba alipata kura zaidi ya elfu tisini na uhakika atashinda kwa kishindo.

Tuirudishe CCM kwenye makali yake

Mh. Polepole na Dr. Bashiru zingatieni sana hili

Sisi watu wa Kawe kule hatuangalii vyama. Ili warioba ashinde atueleze atafanya nini tofauti! Hapo ndipo wanasiasa wanakosea kwa sasa serikali ya mkoa mzima ni ya CCM sasa inabidi mgombea atuambie atawakilisha vipi tofauti maana wenye pesa ni CCM serikali sasa ni kitu gani ambacho atafanya tofauti. Badala ya mbinu za kuiba za kizamani ni vema mkasema hili. Kippi ni jirani yetu na tupo kanisa moja ununio lakini alishidwa kujieleza ni kitu gani tofauti anafanya mfano uchafu taka tueleze utafanya nini, usalama wa raia kwanini kila mtu ana kodi walinzi wakati kuna polisi, masoko ya samaki kule hayajakaa vizuri sasa serikali za mitaa zimekwama wapi,!barabara za ndani n.k sasa . Vijana ni wengi sana hizo nyumba na watu ni wachache sana na wastaafu wengi vijana ni 80% ya watu na hawa huwezi kuwadanganya kwa vyama pekee inabidi useme na wanajua watendaji. Ukisema kitu ambacho kwa sasa hakifanyiki utakuwa na wakati mgumu sana.
 
Hiyo kazi uliyojipa au kupewa sana sana inakudhalilisha.
 
Tunaangalia Watu sahihi
Yaani minne na miezi kadhaa unasifia tu na kuunga mkono juhudi halafu leo kabla ya miezi michache eti unatoa ushauri na unataka usikilizwe, wewe unakihujumu chama jamaa yangu..
 
Back
Top Bottom