Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Wewe dena unanifahamu kwa level gani hadin uwe na uthubutu wa kuyaandika uliyoyaandika?

Kijana umebanwa mbavuni......maneno mazuri, ila matendo hakuna...
 
aisee dadaake mimi jaribu kuwapa exiperience hawa vijana wa mujini hawa wanaoshinda kwenye mabaa hadi saa kumi alfajiri

Teamo hiyo rezolushen yako ya 2011 ni poa

Wewe wakikurubuni temanana nao kama hawakuelewi

We need a change in our families this 2011.
 
Kwa mujibu wa Generation Y.... bia inaongoza kwa 8 bila.

Sababu kuu iliyopiga tatu kwa mpigo:

Kadiri unavotoa biya kwenye friji ndo zinazidi kuwa tamu, kadiri unavyotoa mshahara kwenye ATM uchungu unaongezeka.

Bia ikihudumiwa na mwanamke mzuri inakuwa tamu zaidi....mshahara ukikutana na mwanamke mzuri balaaaa!

mpaka hapo BIA 10 - MSHAHARA 0
 
Teamo hiyo rezolushen yako ya 2011 ni poa

Wewe wakikurubuni temanana nao kama hawakuelewi

We need a change in our families this 2011.
aisee uko sahihi...

hawa wataelewa tu
 
HEHEHE!
ni ukweli unaohuzunisha sana

lakini ni lazima tuukabili kwa namna yoyote ile

hakuna kitu kibaya kwa baba wa familia kuishi kama INVISIBLE
hahahahahaaaaaa!!!
Saaa sita ----sabaaaa.............saa kumi na mbili shaaaaaaaaaa!!!!
weekend unaamka saa tano mchana........unaoga unapokea simu huku umeshikilia ufunguo mkononi...............huyooooooo!!!
Jpili unaamka wakati kila mtu ameshakwenda church................wewe huyooooooo kwenye supu ya samaki..........unaishi kimara unaenda kunywa supu kurasini.

NITARUDI.
 
Bia ikihudumiwa na mwanamke mzuri inakuwa tamu zaidi....mshahara ukikutana na mwanamke mzuri balaaaa!

mpaka hapo BIA 10 - MSHAHARA 0

Hahahaha.....ndo inakuwaje unamaliza pointi zote? Vijana watadesa halafu tutakosa sababu ya kukutana na kula chakula kwa pamoja!
 
wee bana ushabiki umekuzidia

MFALME WA AMANI hapendi mashabiki

Hehehee...
Kijana acha hasira...naunga mkono maneno yako....ila matendoz i cast a big doubt!
 
teamo hiyo rezolushen yako ya 2011 ni poa

wewe wakikurubuni temanana nao kama hawakuelewi

we need a change in our families this 2011.
huyu ujue amelazimishwa kula kiporo jana.........sio rezolusheni wala nini!!!!
 
My dear dada....ukutane na Teamo mnakula biya....mkiwahi sana, Mungu awabariki ni saa sita....hapo ndo ukale na watoto?

Katika wiki kuna siku saba tafuta siku moja icross out na weka reminder kwenye kilongalonga hakuna kwenda mahali zaidi ya nyumbani, at the same time tafuta alternative road ya kukuwezesha kufika nyumbani mapema usisingizie foleni.
 
hahahahahaaaaaa!!!
Saaa sita ----sabaaaa.............saa kumi na mbili shaaaaaaaaaa!!!!
weekend unaamka saa tano mchana........unaoga unapokea simu huku umeshikilia ufunguo mkononi...............huyooooooo!!!
Jpili unaamka wakati kila mtu ameshakwenda church................wewe huyooooooo kwenye supu ya samaki..........unaishi kimara unaenda kunywa supu kurasini.

NITARUDI.
hahahahahahahahahaha!
aisee nilishafanya booking ya ile ''makitu''
 
huyu ujue amelazimishwa kula kiporo jana.........sio rezolusheni wala nini!!!!

Mi nawaambia watu huyu dogo jana alikuwa na dozi ya Panadol lakini kina Lili Flawa wala hawanielewi.

Eti rizolusheni......
 
Hehehee...
Kijana acha hasira...naunga mkono maneno yako....ila matendoz i cast a big doubt!
hehehehe!
i agree.......RATING ME TO YOUR LEVELS i will be as bad as LUSUFELI
 
hahahahahaaaaaa!!!
Saaa sita ----sabaaaa.............saa kumi na mbili shaaaaaaaaaa!!!!
weekend unaamka saa tano mchana........unaoga unapokea simu huku umeshikilia ufunguo mkononi...............huyooooooo!!!
Jpili unaamka wakati kila mtu ameshakwenda church................wewe huyooooooo kwenye supu ya samaki..........unaishi kimara unaenda kunywa supu kurasini.

NITARUDI.
haha hahahha hahahaaa wapokea simu mdau mmoja anakusubr tegeta mwngne charambe
infii kgambon anakungoja....ukimaliza mizunguko sa 4 usiku...warud hom hoooooooooooooiiiiii
 
Katika wiki kuna siku saba tafuta siku moja icross out na weka reminder kwenye kilongalonga hakuna kwenda mahali zaidi ya nyumbani, at the same time tafuta alternative road ya kukuwezesha kufika nyumbani mapema usisingizie foleni.
AISEE nakukubali zaidi....

tena wewe umeweka rahisi zaidi JUST ONE DAY
 
Katika wiki kuna siku saba tafuta siku moja icross out na weka reminder kwenye kilongalonga hakuna kwenda mahali zaidi ya nyumbani, at the same time tafuta alternative road ya kukuwezesha kufika nyumbani mapema usisingizie foleni.
Dada hebu angalia huu mchanganuo hapa chini kama nilivouainisha. Teamo ni muumini mzuri wa hii ratiba:

Hahahaha

Haya:
Leo unakuwa na marafiki wa JF...wanywa bia na kitimoto
Kesho unakutana na marafiki majirani: Wanywa bia na mbuzi choma
Keshokutwa unakutana na maskulimeti: Wanywa konyagi na makongoro
Siku inayofuata zamu ya Infii: Bia, maini na kitanda
Then unakutana na workmates: Bia, porojo, blah blah, mkia
Siku nyingine twenzetu shamba...unakutana na Acid na Teamo....bia, poo table nyama
Siku nyingine..........

Hivyo hivyo unajikuta wiki imekata. Kina mama wanalazimika kutusamehe na kutuelewa.
Tuna ratiba ngumu sana.
 
Mi nawaambia watu huyu dogo jana alikuwa na dozi ya Panadol lakini kina Lili Flawa wala hawanielewi.

Eti rizolusheni......

Hakuna cha panadol wala nini MABADILIKO YANAWEZEKANA.

Kwanini uishi kama mkimbizi kwenye nyumba yako mwenyewe??
 
Back
Top Bottom