Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 116
Wana Jamii,Katika kuhakikisha tunashirikiana kikamilifu,Timu nzima ya AfroIT imeandaa mazungumzo kwa njia ya mtandao(Webcasting) ambapo tutaongelea masuala mbalimbali ya ICT.
Mazungumzo haya yatakuwa Live, vilevile kopi itapatikanika kwenye Website yetu na totuvi rafiki kwa wale waliokosa,ingawa tunashauri wadau zaidi washiriki kwenye hili.
Muda:Jumamosi,Saa kumi hadi kumi na moja jioni kwa saa za Afrika ya mashariki.
Mada:Fursa na Changamoto za ICT Tanzania
Jinsi ya kushiriki: Tutawaletea ufafanuzi kabla ya ijumaa,ila kitu cha kufahamu ni kuwa conference hii itakuwa ni online ambapo wewe kama mchangiaji huitaji kuwa na programu yoyote zaidi ya browser na internet.
Vifaa: Microphone,Webcam(kama unahitaji,sio lazima) na data zako.
Note: Katika hii conference kila mshiriki anauwezo wa kushare kila kitu toka kwenye kompyuta yake na kuwaonesha washiriki,hivyo kama una data zozote zilizo kwenye pdf,word,movie nk basi ziweke tayari.
Ushiriki: Ili kuhakikisha lengo linafikia,kutakuwa na kikomo cha idadi ya washiriki,hivyo tunaanza kupokea maombi ya ushiriki leo.
Kushiriki tuma e mail yako kwenda podcast@afroit.com ukijumuisha Jina lako kamili,namba ya simu,fani yako au kazi unayofanya na Nchi(Mji) uliyopo. Hatutagawa taarifa za mtu ila zitatusaidia katika kuhakikisha tunaandaa mazingira mazuri kwa washiriki.
Pia tunapokea michango ya wanajamii,je ungependa tujadili kitu gani katika webcast zijazo? Pia je ungependa kuwa mtoa mada mkuu kwenye AfroIT webcast?
Tutumie e mail podcast@afroit.com leo kwani wakati ni ukuta.
Kama una maswai,maoni au ushauri basi usisite kutembelea AfroIT Forums
Nyoni
AfroIT Group
Mazungumzo haya yatakuwa Live, vilevile kopi itapatikanika kwenye Website yetu na totuvi rafiki kwa wale waliokosa,ingawa tunashauri wadau zaidi washiriki kwenye hili.
Muda:Jumamosi,Saa kumi hadi kumi na moja jioni kwa saa za Afrika ya mashariki.
Mada:Fursa na Changamoto za ICT Tanzania
Jinsi ya kushiriki: Tutawaletea ufafanuzi kabla ya ijumaa,ila kitu cha kufahamu ni kuwa conference hii itakuwa ni online ambapo wewe kama mchangiaji huitaji kuwa na programu yoyote zaidi ya browser na internet.
Vifaa: Microphone,Webcam(kama unahitaji,sio lazima) na data zako.
Note: Katika hii conference kila mshiriki anauwezo wa kushare kila kitu toka kwenye kompyuta yake na kuwaonesha washiriki,hivyo kama una data zozote zilizo kwenye pdf,word,movie nk basi ziweke tayari.
Ushiriki: Ili kuhakikisha lengo linafikia,kutakuwa na kikomo cha idadi ya washiriki,hivyo tunaanza kupokea maombi ya ushiriki leo.
Kushiriki tuma e mail yako kwenda podcast@afroit.com ukijumuisha Jina lako kamili,namba ya simu,fani yako au kazi unayofanya na Nchi(Mji) uliyopo. Hatutagawa taarifa za mtu ila zitatusaidia katika kuhakikisha tunaandaa mazingira mazuri kwa washiriki.
Pia tunapokea michango ya wanajamii,je ungependa tujadili kitu gani katika webcast zijazo? Pia je ungependa kuwa mtoa mada mkuu kwenye AfroIT webcast?
Tutumie e mail podcast@afroit.com leo kwani wakati ni ukuta.
Kama una maswai,maoni au ushauri basi usisite kutembelea AfroIT Forums
Nyoni
AfroIT Group