Kushiriki usafi Jumamosi ya kwanza ya mwezi ni lazima kisheria?

Mkuu wa mkoa au waziri au authority yoyote ya serikali kuu haiwezi tunga sheria mpaka wapewe nguvu na sheria ya bunge isipokuwa raisi ambaye yeye amepewa mamlaka na katiba.

Ukiona waziri katunga sheria ujue kuna sheria ya bunge na immempa madaraka ya kufanya hivyo.
 
Mbona kuna wenzako walishaifungulia kesi mahakamani hili swala na maamuzi kama utapata time pitia case ya Ezekiah Oluch v. Ag kama sikosei ni case ya mwaka 2016.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…