Kakondele
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 238
- 214
natafuta mtu wa kushirikiana nae shambani kuvuna miti ya mbao aina ya mbula pamoja na miti ya mkaa shamba ni ekari 8000 lipo sumbawanga lengo ni kupanda miti mipya na kuanzisha shughuli za kilimo kwa anayetaka na yuko serious anitafute kupitia 0765032151