Kushuka bei ya mafuta soko la dunia

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
Hivi sasa bei ya mafuta kwenye masoko ya dunia imeshuka kufikia dola za marekani kati ya 40 na 50 kwa pipa moja ambapo ushukaji huo ni zaidi ya nusu ya bei ya awali, hii imechangiwa na uzalishaji kuzidi mahitaji,kwahivyo uchumi wa nchi wanunuzi wa mafuta duniani umepanda kutokana na mafuta yanayouzwa kwa matumizi ya viwandani,uraiani,serikalini,taasisi,mashirika nk bei yake imeshuka sana pengine nusu ya bei ya awali.
je hapa tanzania hii hali ya unafuu mkubwa wa bei ya mafuta sambamba na soko la dunia na nchi nyingine duniani au tubaki kuota tu katika ndoto zetu za mchana na usiku?wachumi naomba majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…