Kushuka kwa bei ya disesel ni matunda ya kuheshimu mwenendo wa soko

Teh teh teh CCM ndo kokoro linalobeba vinvyohitajika na visivyohitajika...

Ndo maana wewe na mashoga wenzako mpo huko CCM
Ngoja nikusaidie- CHADEMA ni democratic na liberal party ambao wanaamini katika ku practice, kukuza, kutetea haki za binadamu wakiwemo mashoga na wanaofanya ushoga; soko huru; na ugaztuzi yaani serikali za majimbo. Inaelekea ukiacha mdomo mchafy huna unachojua na hii inathibitisha chapa yenu ya UNYUMBU- yaani umo tu hata huji uko wapi.
 
We shoga uliyezaliwa katika laana tupu utanifundisha nini mimi? Magufuli aliwapa hadi ukuu wa mkoa mashoga!!
 
We shoga uliyezaliwa katika laana tupu utanifundisha nini mimi? Magufuli aliwapa hadi ukuu wa mkoa mashoga!!
Hufundishiki kwa nininifanye hata jitihada za kukufundisha wewe ni kama dodoki tu unaokota kila kitu
 
Sishangilii. Najua mwezi ujao bei itapanda mara tano ya punguzo la sasa
 

Hivi kwa nini bei ya mafuta ya taa inakuwa juu kupita bei ya dizel na petrol?
 
Mwezi wa Saba mwaka Jana nilijaza lorry mafuta kwa Bei ya shilingu3400 niklikwenda Arusha kwa shilingi laki 900000
Leo hi mnk Kama nitakwenda ten nitatumia Zaid ya laki 700+++

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…