Kushuka kwa dolla ni hatari kwa uchumi

Kushuka kwa dolla ni hatari kwa uchumi

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Tunaweza kusema Dolla ya Marekani umeshuka thamani lakini pia Shilingi ya Tanzania imeimarika.
Katika hali zote, zipo sababu nyuma yake ambazo zimepelekea hali hii.
Katika miezi michache
nyuma thank ya Dolla ilikua mpaka Tsh2720 kwa Dola Moja.
Imekua ikishuka thamani kwa Kasi sana mpaka hii leo kusikia Tsh 2291 kwa Dolla moja.

Hali hii ya kushuka kwa kasi namba hii nayo inatishia Mlinganyo ya Biashara za kuuza na kununua nje.

Sasa kipi bora kwa uchumi wetu, Tuuze zaidi au Tununue zaidi toka nje!?
Kwa wanunuzi ni faida sababu unatumia Shilingi kidogo kupata bidhaa nyingi.

Tatizo lipo kwa wanaouza nje hasa mzao ya kilimo na uvuvi.
Mifano, Mfanyabiashara toka Kenya angeweza kununua mahindi kilo Mia kwa USD 28 katika miezi mitatu iliyopita lakini kwasasa itamlazimu kutumia USD 35 kwa kiasi kilekile. Manayeke anaongezeko la garama y USD7.
Ikumbukwe kwa Msimu wa mavuno mwaka huu, tumesaidiwa na ukame uliozikumba Nchi za Zambia, Malawi n Muzambique ambapo ilibidi tuwauzie badala ya kununua kwao. Mwaka huu hali ni tofauti.

Serikali inawajibu wa kuangalia athali hasi na chana Ili kuweka Balance ya uuzaji na ununizi.

Dollar ikisimama kwa 2500 Bado sio mbaya kuliko huko tunako elekea
Wanunuzi wa nje watatafuta masoko mbadala nasisi tutajua hatarini kiuchumi.
 
Hamna shukrani kabisa yaani. Ikipanda vilio ikishuka vilio sijui kwenu jema ni nini asee

We haki umeongea uongo kataa kubali

Watu tunatamani iwe dola moja kwa shilingi moja we unasikitika shilingi ikipanda thamani aaaaaaagh!
 
Unawazingatia wanunuzi wa nje,si tunauza kwa bodi ya nafaka.
kwanza hao unaisema wanunuzi wa nje pale miakani wanajifanya wanaharaka hawataki ionekane wamenunua kwetu .Twende hivi hivi,Mafuta yashuke tubanane barabarani siku kukuu hizi.
Kushuka ni msimu wake sababu wazungu wamefunga viwanda wameenda holiday na sio kwamba sisi tumezudisha mauzo zaidi.
 
Tunaweza kusema Dolla ya Marekani umeshuka thamani lakini pia Shilingi ya Tanzania imeimarika.
Katika hali zote, zipo sababu nyuma yake ambazo zimepelekea hali hii.
Katika miezi michache
nyuma thank ya Dolla ilikua mpaka Tsh2720 kwa Dola Moja.
Imekua ikishuka thamani kwa Kasi sana mpaka hii leo kusikia Tsh 2291 kwa Dolla moja.

Hali hii ya kushuka kwa kasi namba hii nayo inatishia Mlinganyo ya Biashara za kuuza na kununua nje.

Sasa kipi bora kwa uchumi wetu, Tuuze zaidi au Tununue zaidi toka nje!?
Kwa wanunuzi ni faida sababu unatumia Shilingi kidogo kupata bidhaa nyingi.

Tatizo lipo kwa wanaouza nje hasa mzao ya kilimo na uvuvi.
Mifano, Mfanyabiashara toka Kenya angeweza kununua mahindi kilo Mia kwa USD 28 katika miezi mitatu iliyopita lakini kwasasa itamlazimu kutumia USD 35 kwa kiasi kilekile. Manayeke anaongezeko la garama y USD7.
Ikumbukwe kwa Msimu wa mavuno mwaka huu, tumesaidiwa na ukame uliozikumba Nchi za Zambia, Malawi n Muzambique ambapo ilibidi tuwauzie badala ya kununua kwao. Mwaka huu hali ni tofauti.

Serikali inawajibu wa kuangalia athali hasi na chana Ili kuweka Balance ya uuzaji na ununizi.

Dollar ikisimama kwa 2500 Bado sio mbaya kuliko huko tunako elekea
Wanunuzi wa nje watatafuta masoko mbadala nasisi tutajua hatarini kiuchumi.
Nimerudia zaidi ya mara mbili lakini sijakuelewa
 
Acha izidi kushuka , japo January itapanda tena , hapo shughuli kwa wauzaji wa nje ndio tatizo lakini Acha ishuke ikiwezekana ifike hata Tsh 2000 au chini ya hapo
 
Mi navyojua kushuka kwa dola inamaana tsh imeimarika. Yaani thamani ya tsh imepanda. Na hii inamaana tanzania tunauza zaidi bidhaa zetu nje kuliko kununua au mimi ndio sielewi.
Mtoa mada una elimu gani kwanza tuanzie hapo. Usikute ni chawa halafu umeishia darasa la 4d
 
Dollar haijashuka Tanzania kwa Sababu ya mtu yeyote wa Tanzania, ni issues na Policies za Marekani, dollar itapanda Kama Kawa taratibu na kurudi pale juu, wekeni hii comment Mtakuja kuniambia, Hakuna mtu Tanzania mwenye Maarifa au uwezo wa kushusha dollar namna hii’!
 
Hamna shukrani kabisa yaani. Ikipanda vilio ikishuka vilio sijui kwenu jema ni nini asee
We haki umeongea uongo kataa kubali
Watu tunatamani iwe dola moja kwa shilingi moja we unasikitika shilingi ikipanda thamani aaaaaaagh!
Ni suala la kitaalamu, sio suala la shukrani. Dollar ikishuka sana, Tanzania itapata Tshs. chache kwa mauzo ya nje ya nchi kama vile korosho. Ndio maana mleta mada akasema inatakiwa iwepo balance, kutegemea unauza sana nje ya nchi au unanunua sana kutoka nje ya nchi. Hesabu huwa hazidanganyi, na hazihitaji shukrani
 
Dollar haijashuka Tanzania kwa Sababu ya mtu yeyote wa Tanzania, ni issues na Policies za Marekani, dollar itapanda Kama Kawa taratibu na kurudi pale juu, wekeni hii comment Mtakuja kuniambia, Hakuna mtu Tanzania mwenye Maarifa au uwezo wa kushusha dollar namna hii’!
Hadi January inaweza kurudi 2600 uko sahihi na serikali hahusiki na lolote kwenye dollar na mafuta
 
Samahani unaweza kufuta ujinga wako
Unaposema ujinga, umewaza Mazao kama Korosho, pamba, chai, kahawa ,tumbaku, ufuta, Soya nk Bei zitakuaje? Mifano Soko la Dunia Bei ya Korosho ikiwa USD 3, badala ya kuwa umeuza 8000tsh utakuja kupata Tsh3000.
Ihapo ni kama ukifika Dola Moja kwa 1000Tsh, utaona zile sherehe za Mtwara na Tambo za kuongeza wake? Athali yake inakuaje kwenye mzunguko wa Biashara?
 
Unaposema ujinga, umewaza Mazao kama Korosho, pamba, chai, kahawa ,tumbaku, ufuta, Soya nk Bei zitakuaje? Mifano Soko la Dunia Bei ya Korosho ikiwa USD 3, badala ya kuwa umeuza 8000tsh utakuja kupata Tsh3000.
Ihapo ni kama ukifika Dola Moja kwa 1000Tsh, utaona zile sherehe za Mtwara na Tambo za kuongeza wake? Athali yake inakuaje kwenye mzunguko wa Biashara?
Hapo sawa mkuu... lakini ss tunaotaka kuagiza mandinga bei imeshuka
 
Trump akiingia ofisini tu dollar itapanda kwa kasi sana. Kama kuna chimbo umeotea nunua kwa wingi sana.
 
Mi navyojua kushuka kwa dola inamaana tsh imeimarika. Yaani thamani ya tsh imepanda. Na hii inamaana tanzania tunauza zaidi bidhaa zetu nje kuliko kununua au mimi ndio sielewi.
Mtoa mada una elimu gani kwanza tuanzie hapo. Usikute ni chawa halafu umeishia darasa la 4d
una nini cha kuuza nje? Sisi tulio mpakani mwa nchi jirani ndio tunaona athari hasi za kuporomoka kwa dola. Na hii aimanishi shilingi yetu imeimarika.
 
Tunaweza kusema Dolla ya Marekani umeshuka thamani lakini pia Shilingi ya Tanzania imeimarika.
Katika hali zote, zipo sababu nyuma yake ambazo zimepelekea hali hii.
Katika miezi michache
nyuma thank ya Dolla ilikua mpaka Tsh2720 kwa Dola Moja.
Imekua ikishuka thamani kwa Kasi sana mpaka hii leo kusikia Tsh 2291 kwa Dolla moja.

Hali hii ya kushuka kwa kasi namba hii nayo inatishia Mlinganyo ya Biashara za kuuza na kununua nje.

Sasa kipi bora kwa uchumi wetu, Tuuze zaidi au Tununue zaidi toka nje!?
Kwa wanunuzi ni faida sababu unatumia Shilingi kidogo kupata bidhaa nyingi.

Tatizo lipo kwa wanaouza nje hasa mzao ya kilimo na uvuvi.
Mifano, Mfanyabiashara toka Kenya angeweza kununua mahindi kilo Mia kwa USD 28 katika miezi mitatu iliyopita lakini kwasasa itamlazimu kutumia USD 35 kwa kiasi kilekile. Manayeke anaongezeko la garama y USD7.
Ikumbukwe kwa Msimu wa mavuno mwaka huu, tumesaidiwa na ukame uliozikumba Nchi za Zambia, Malawi n Muzambique ambapo ilibidi tuwauzie badala ya kununua kwao. Mwaka huu hali ni tofauti.

Serikali inawajibu wa kuangalia athali hasi na chana Ili kuweka Balance ya uuzaji na ununizi.

Dollar ikisimama kwa 2500 Bado sio mbaya kuliko huko tunako elekea
Wanunuzi wa nje watatafuta masoko mbadala nasisi tutajua hatarini kiuchumi.
Hili ni suala la muda tu. Unadhani mambo yatakuwa hivi muda wote?
 
Ndio maana tunasema wasomi hawana akili, thamani ya shilingi imepanda alaf mnaanza kuleta ujuaji tena. Hamueleweki mnataka nini. All in all thamani ya shilingi kupanda ndio hatua nzuri kwa Taifa
 
Humu JF vilaza wengi sana aisee. Yaani concepts za uchumi wanaziongelea simple tu.

Iko hivi, kama una import sana kuliko export basi kushuka Kwa dola ni nafuu kwako. Sababu utahitajika kiasi Cha TZS chache kuzibadilisha kupata USD za kuagizia bidhaa nje.

Lakini kama una export zaid kuliko import basi wewe USD ikishuka value utakua kwenye hasara zaidi. Sababu
1) Kama bidhaa zako ziko kwenye bei ya USD bas utalipwa USD ileile lakini ukiibadilisha unapata TZS chache.

2) Na kama bidhaa zako ziko kwenye TZS basi wateja wako watahitaji USD chache kubadili ili kupata TZS ya kukulipa, hivyo nchi kama nchi itakua imeingiza USD chache.

Sasa Tanzania ki ujumla ni nchi inayo import sana kuliko export. Hivyo kwa muktadha huo hapo juu, Tanzania inafaidika zaidi na kushuka kwa value ya USD kuliko hasara inayopata.

Pia tujifunze vitu kama vile kujua je ni Shilling imeimarika kupelekea USD kua weaker than before, au ni USD imekua weaker ndio ikapelekea TZS kuonekana imara??

Yaan USD kushuka value ni TANZANIA tu? Au Globally?? Mnaweza mkaisifia TZS yenu, au mkasema sijui nani anaupiga mwingi kumbe ni swala liko globally.
 
Humu JF vilaza wengi sana aisee. Yaani concepts za uchumi wanaziongelea simple tu.

Iko hivi, kama una import sana kuliko export basi kushuka Kwa dola ni nafuu kwako. Sababu utahitajika kiasi Cha TZS chache kuzibadilisha kupata USD za kuagizia bidhaa nje.

Lakini kama una export zaid kuliko import basi wewe USD ikishuka value utakua kwenye hasara zaidi. Sababu
1) Kama bidhaa zako ziko kwenye bei ya USD bas utalipwa USD ileile lakini ukiibadilisha unapata TZS chache.

2) Na kama bidhaa zako ziko kwenye TZS basi wateja wako watahitaji USD chache kubadili ili kupata TZS ya kukulipa, hivyo nchi kama nchi itakua imeingiza USD chache.

Sasa Tanzania ki ujumla ni nchi inayo import sana kuliko export. Hivyo kwa muktadha huo hapo juu, Tanzania inafaidika zaidi na kushuka kwa value ya USD kuliko hasara inayopata.

Pia tujifunze vitu kama vile kujua je ni Shilling imeimarika kupelekea USD kua weaker than before, au ni USD imekua weaker ndio ikapelekea TZS kuonekana imara??

Yaan USD kushuka value ni TANZANIA tu? Au Globally?? Mnaweza mkaisifia TZS yenu, au mkasema sijui nani anaupiga mwingi kumbe ni swala liko globally.
Umeelezea vyema
 
Back
Top Bottom