Kushuka kwa dolla ni hatari kwa uchumi

Kushuka kwa dolla ni hatari kwa uchumi

Humu JF vilaza wengi sana aisee. Yaani concepts za uchumi wanaziongelea simple tu.

Iko hivi, kama una import sana kuliko export basi kushuka Kwa dola ni nafuu kwako. Sababu utahitajika kiasi Cha TZS chache kuzibadilisha kupata USD za kuagizia bidhaa nje.

Lakini kama una export zaid kuliko import basi wewe USD ikishuka value utakua kwenye hasara zaidi. Sababu
1) Kama bidhaa zako ziko kwenye bei ya USD bas utalipwa USD ileile lakini ukiibadilisha unapata TZS chache.

2) Na kama bidhaa zako ziko kwenye TZS basi wateja wako watahitaji USD chache kubadili ili kupata TZS ya kukulipa, hivyo nchi kama nchi itakua imeingiza USD chache.

Sasa Tanzania ki ujumla ni nchi inayo import sana kuliko export. Hivyo kwa muktadha huo hapo juu, Tanzania inafaidika zaidi na kushuka kwa value ya USD kuliko hasara inayopata.

Pia tujifunze vitu kama vile kujua je ni Shilling imeimarika kupelekea USD kua weaker than before, au ni USD imekua weaker ndio ikapelekea TZS kuonekana imara??

Yaan USD kushuka value ni TANZANIA tu? Au Globally?? Mnaweza mkaisifia TZS yenu, au mkasema sijui nani anaupiga mwingi kumbe i swala liko globally.
Umeongea vyema kabisa. Kupanda kwa sh kunasidia kununua bidhaa za nje kwa bei nafuu lakini watu wa nje wataona ni gharama kununua bidhaa zetu. Ndo maana marekani mara nyingi ana lalamikia China anayeuza zaidi nje baada ya kupunguza thamani ya pesa yake. Tujipange.
 
Unaposema ujinga, umewaza Mazao kama Korosho, pamba, chai, kahawa ,tumbaku, ufuta, Soya nk Bei zitakuaje? Mifano Soko la Dunia Bei ya Korosho ikiwa USD 3, badala ya kuwa umeuza 8000tsh utakuja kupata Tsh3000.
Ihapo ni kama ukifika Dola Moja kwa 1000Tsh, utaona zile sherehe za Mtwara na Tambo za kuongeza wake? Athali yake inakuaje kwenye mzunguko wa Biashara?
Mkuu $ kuwa chini ni nzuri kwa manunuzi kutoka nje ni kweli ila kuhusu uuzaji kadri bidhaa zako zinavyohitajika nje ndivyo thamani ya pesa yako inavyopanda against $.

Swali unalopaswa kujiuliza ni $ imeshuka sababu mauzo ya nje yameongezeka?

Kama jibu ni ndio basi hichi unachosema hakina maana sababu demand imetoka huko huko nje meaning wateja wapo tayari kulipia hilo ongezeko la thamani la Tsh na kama itaendelea sana serikali inaweza fix rate.

Kama jibu ni siyo basi una point maana hata hiyo demand kidogo iliyopo haitakuwa na manufaa kwa wauzaji sababu wateja watatafuta mbadala kwa kutokuwa tayari kulipia gharama ya ongezeko la thamani.
 
Hamna shukrani kabisa yaani. Ikipanda vilio ikishuka vilio sijui kwenu jema ni nini asee

We haki umeongea uongo kataa kubali

Watu tunatamani iwe dola moja kwa shilingi moja we unasikitika shilingi ikipanda thamani aaaaaaagh!
Hao ni wezi walioficha pesa katika mfumo wa dollar ndiyo wanalialia
 
Dolla standard inatakiwa uwe 1500 au 1800 ndio standard ya mwisho kabisa bado nashauri b.o.t waendelee kuishusha ifike angalau 1800!!
 
Hiyo balance yake abaki nayo mwenyewe sisi Raha nikuona bei za vitu zinapungua
Ni sawa kabisa, maana kwa wewe unayenufaika hilo jambo ni zuri. Lakini pia kuna mwingine hilo hilo jambo ni baya.
Ngoja nikutolee mfano. Kiongozi wa nchi alipokuwa ziarani mkoani Katavi, alitangaza kupandisha bei ya mahindi na kuwa sh. 600/= kwa kilo moja. Jambo hilo linapokelewa kwa mitazamo miwili tofauti. Wakulima wa mahindi walifurahi kwa kuwa sasa watapata hela zaidi kwa kiasi kile kile cha mahindi ukilinganisha na kabla haijapandishwa. Lakini ukiondoa wakulima wa mahindi, nchi hii ina watu wengine wengi zaidi ambao sio wakulima wa mahindi, bali ni wanunuaji wa mahindi na bidhaa zake. Kundi hili la pili kwa vyovyote halitafurahia kupandishwa kwa bei ya mahindi maana sasa watalazimika kutafuta hela zaidi ili kukidhi mahitaji yao ya mahindi na bidhaa zake.
Kwa mfano huo, bila kufanya balancing ya kupanda na kushuka kwa bei, basi uwe tayari kulichinjia baharini kundi mojawapo, either la wauzaji au wanunuaji
 
Ni sawa kabisa, maana kwa wewe unayenufaika hilo jambo ni zuri. Lakini pia kuna mwingine hilo hilo jambo ni baya.
Ngoja nikutolee mfano. Kiongozi wa nchi alipokuwa ziarani mkoani Katavi, alitangaza kupandisha bei ya mahindi na kuwa sh. 600/= kwa kilo moja. Jambo hilo linapokelewa kwa mitazamo miwili tofauti. Wakulima wa mahindi walifurahi kwa kuwa sasa watapata hela zaidi kwa kiasi kile kile cha mahindi ukilinganisha na kabla haijapandishwa. Lakini ukiondoa wakulima wa mahindi, nchi hii ina watu wengine wengi zaidi ambao sio wakulima wa mahindi, bali ni wanunuaji wa mahindi na bidhaa zake. Kundi hili la pili kwa vyovyote halitafurahia kupandishwa kwa bei ya mahindi maana sasa watalazimika kutafuta hela zaidi ili kukidhi mahitaji yao ya mahindi na bidhaa zake.
Kwa mfano huo, bila kufanya balancing ya kupanda na kushuka kwa bei, basi uwe tayari kulichinjia baharini kundi mojawapo, either la wauzaji au wanunuaji
Hiyo tsh 600 ni kwa watakao uza serikalini syo bei elekezi mitaani, mitaani wanauza kwa debe syo kg
 
Hamna shukrani kabisa yaani. Ikipanda vilio ikishuka vilio sijui kwenu jema ni nini asee

We haki umeongea uongo kataa kubali

Watu tunatamani iwe dola moja kwa shilingi moja we unasikitika shilingi ikipanda thamani aaaaaaagh!
Kila mtu kwa upande wake kuna watu wana fanya kazi inje ya inchi wana lipwa kwa dollar,kwa mfano kuna watu wana lipwa dollar 1,500 kama ingebaki 2,700,wangepata million 4.

Kwa sasa hivi wata jikuta wana ishia million 3 na kiasi kwa TSH, sasa huyu hawezi kufurahia.
 
Humu JF vilaza wengi sana aisee. Yaani concepts za uchumi wanaziongelea simple tu.

Iko hivi, kama una import sana kuliko export basi kushuka Kwa dola ni nafuu kwako. Sababu utahitajika kiasi Cha TZS chache kuzibadilisha kupata USD za kuagizia bidhaa nje.

Lakini kama una export zaid kuliko import basi wewe USD ikishuka value utakua kwenye hasara zaidi. Sababu
1) Kama bidhaa zako ziko kwenye bei ya USD bas utalipwa USD ileile lakini ukiibadilisha unapata TZS chache.

2) Na kama bidhaa zako ziko kwenye TZS basi wateja wako watahitaji USD chache kubadili ili kupata TZS ya kukulipa, hivyo nchi kama nchi itakua imeingiza USD chache.

Sasa Tanzania ki ujumla ni nchi inayo import sana kuliko export. Hivyo kwa muktadha huo hapo juu, Tanzania inafaidika zaidi na kushuka kwa value ya USD kuliko hasara inayopata.

Pia tujifunze vitu kama vile kujua je ni Shilling imeimarika kupelekea USD kua weaker than before, au ni USD imekua weaker ndio ikapelekea TZS kuonekana imara??

Yaan USD kushuka value ni TANZANIA tu? Au Globally?? Mnaweza mkaisifia TZS yenu, au mkasema sijui nani anaupiga mwingi kumbe ni swala liko globally.
....Yaan USD kushuka value ni TANZANIA tu? Au Globally?? Mnaweza mkaisifia TZS yenu, au mkasema sijui nani anaupiga mwingi kumbe ni swala liko globally....
 
Tunaweza kusema Dolla ya Marekani umeshuka thamani lakini pia Shilingi ya Tanzania imeimarika.
Katika hali zote, zipo sababu nyuma yake ambazo zimepelekea hali hii.
Katika miezi michache
nyuma thank ya Dolla ilikua mpaka Tsh2720 kwa Dola Moja.
Imekua ikishuka thamani kwa Kasi sana mpaka hii leo kusikia Tsh 2291 kwa Dolla moja.

Hali hii ya kushuka kwa kasi namba hii nayo inatishia Mlinganyo ya Biashara za kuuza na kununua nje.

Sasa kipi bora kwa uchumi wetu, Tuuze zaidi au Tununue zaidi toka nje!?
Kwa wanunuzi ni faida sababu unatumia Shilingi kidogo kupata bidhaa nyingi.

Tatizo lipo kwa wanaouza nje hasa mzao ya kilimo na uvuvi.
Mifano, Mfanyabiashara toka Kenya angeweza kununua mahindi kilo Mia kwa USD 28 katika miezi mitatu iliyopita lakini kwasasa itamlazimu kutumia USD 35 kwa kiasi kilekile. Manayeke anaongezeko la garama y USD7.
Ikumbukwe kwa Msimu wa mavuno mwaka huu, tumesaidiwa na ukame uliozikumba Nchi za Zambia, Malawi n Muzambique ambapo ilibidi tuwauzie badala ya kununua kwao. Mwaka huu hali ni tofauti.

Serikali inawajibu wa kuangalia athali hasi na chana Ili kuweka Balance ya uuzaji na ununizi.

Dollar ikisimama kwa 2500 Bado sio mbaya kuliko huko tunako elekea
Wanunuzi wa nje watatafuta masoko mbadala nasisi tutajua hatarini kiuchumi.

Nasikia some good people are at it again. Wanaturudishia dola ambazo sijui zilikuwa zimeenda wapi, kiasi kwamba shilling inazimia...haiwezi tena kupokea kishindo
 
Hamna shukrani kabisa yaani. Ikipanda vilio ikishuka vilio sijui kwenu jema ni nini asee

We haki umeongea uongo kataa kubali

Watu tunatamani iwe dola moja kwa shilingi moja we unasikitika shilingi ikipanda thamani aaaaaaagh!
Pumbavu zenu ikipanda mnapiga kelele ikishuka mnapiga kelele hivi waTz mkoje??
 
Tunaweza kusema Dolla ya Marekani umeshuka thamani lakini pia Shilingi ya Tanzania imeimarika.
Katika hali zote, zipo sababu nyuma yake ambazo zimepelekea hali hii.
Katika miezi michache
nyuma thank ya Dolla ilikua mpaka Tsh2720 kwa Dola Moja.
Imekua ikishuka thamani kwa Kasi sana mpaka hii leo kusikia Tsh 2291 kwa Dolla moja.

Hali hii ya kushuka kwa kasi namba hii nayo inatishia Mlinganyo ya Biashara za kuuza na kununua nje.

Sasa kipi bora kwa uchumi wetu, Tuuze zaidi au Tununue zaidi toka nje!?
Kwa wanunuzi ni faida sababu unatumia Shilingi kidogo kupata bidhaa nyingi.

Tatizo lipo kwa wanaouza nje hasa mzao ya kilimo na uvuvi.
Mifano, Mfanyabiashara toka Kenya angeweza kununua mahindi kilo Mia kwa USD 28 katika miezi mitatu iliyopita lakini kwasasa itamlazimu kutumia USD 35 kwa kiasi kilekile. Manayeke anaongezeko la garama y USD7.
Ikumbukwe kwa Msimu wa mavuno mwaka huu, tumesaidiwa na ukame uliozikumba Nchi za Zambia, Malawi n Muzambique ambapo ilibidi tuwauzie badala ya kununua kwao. Mwaka huu hali ni tofauti.

Serikali inawajibu wa kuangalia athali hasi na chana Ili kuweka Balance ya uuzaji na ununizi.

Dollar ikisimama kwa 2500 Bado sio mbaya kuliko huko tunako elekea
Wanunuzi wa nje watatafuta masoko mbadala nasisi tutajua hatarini kiuchumi.
II Best Practices in Official Interventions in the Foreign Exchange Market
Author: Mr. Jorge I Canales Kriljenko
Mr. Cem Karacadag
Roberto Guimarães-Filho
and Mr. Shogo Ishii

Publication Date: 02 Mar 2006
Keywords:
OP;
intervention;
central bank;
order flow;
foreign currency;
intervention objective;
spot market intervention;
policy signal;
Exchange rates;
Currencies;
Currency markets;
Exchange rate arrangements; Exchange rate adjustments


II Best Practices in Official Interventions in the Foreign Exchange Market
Author: Mr. Jorge I Canales Kriljenko
, Mr. Cem Karacadag
,Roberto Guimarães-Filho
, and Mr. Shogo Ishii




Jorge Iván Canales-Kriljenko, Roberto Guimarães, and Cem Karacadag

This chapter provides an overview of the policy, technical, and administrative questions that must be addressed to effectively intervene in the foreign exchange market, particularly in developing economies with flexible exchange rate regimes. It includes a review of selected country experiences and the academic literature on operational aspects of official intervention. Key issues include the following:

Amount and timing. When and in what amounts should a central bank intervene in the foreign exchange market? Should official interventions be based on rules or discretionary? What market factors (liquidity, order flow, etc.) should be used to help determine the timing and amount of intervention?

Degree of transparency (secret versus public). Should central bank interventions be announced or kept secret? What are the pros and cons of secrecy versus openness?

Markets and counterparties. In which currency pair, instruments (spot or forward contracts), and trading locations (onshore or offshore) should intervention take place? With whom should the central bank trade (any authorized dealer or primary dealers), and how should it approach them (directly through agents, or through brokers) to achieve its intervention objectives?

The focus in this chapter is primarily on intervention under flexible exchange rate regimes. Under more rigid exchange rate arrangements, including various forms of pegs, central banks have little discretion over intervention policies. Official foreign currency sales and purchases automatically bridge the gap between supply and demand to ensure equilibrium at the predetermined exchange rate. The policy trade-offs and operational issues discussed here apply mainly to countries with independently floating or managed floating exchange rate regimes in which the monetary policy framework is not anchored by an exchange rate target.

Intervention can be defined as official purchases and sales of foreign exchange to achieve one or more of the following four objectives: (i) to moderate exchange rate fluctuations and correct misalignment, (ii) to address disorderly market conditions,1 (iii) to accumulate foreign exchange reserves, and (iv) to supply foreign exchange to the market. The aim is to capture what are known to be widely adopted policy objectives of foreign exchange operations in many developing countries to which the best practices advocated here are primarily intended to apply.

Following the convention in the literature, the definition of intervention in this paper is narrowed to …sterilized” intervention that does not affect domestic monetary conditions (base money or short-term interest rates). To the extent that a foreign exchange operation is not, or is only partially, sterilized, then the component that is left …unsterilized” is equivalent to a monetary policy operation.2





,




Keywords: OP; intervention; central bank; order flow; foreign currency; intervention objective; spot market intervention; policy signal; Exchange rates; Currencies; Currency markets; Exchange rate arrangements; Exchange rate adjustments
Download PDF (278.8 KB)
Abstract
Full Text
Cited By
Related Publications
Jorge Iván Canales-Kriljenko, Roberto Guimarães, and Cem Karacadag

This chapter provides an overview of the policy, technical, and administrative questions that must be addressed to effectively intervene in the foreign exchange market, particularly in developing economies with flexible exchange rate regimes. It includes a review of selected country experiences and the academic literature on operational aspects of official intervention. Key issues include the following:

Amount and timing. When and in what amounts should a central bank intervene in the foreign exchange market? Should official interventions be based on rules or discretionary? What market factors (liquidity, order flow, etc.) should be used to help determine the timing and amount of intervention?

Degree of transparency (secret versus public). Should central bank interventions be announced or kept secret? What are the pros and cons of secrecy versus openness?

Markets and counterparties. In which currency pair, instruments (spot or forward contracts), and trading locations (onshore or offshore) should intervention take place? With whom should the central bank trade (any authorized dealer or primary dealers), and how should it approach them (directly through agents, or through brokers) to achieve its intervention objectives?

The focus in this chapter is primarily on intervention under flexible exchange rate regimes. Under more rigid exchange rate arrangements, including various forms of pegs, central banks have little discretion over intervention policies. Official foreign currency sales and purchases automatically bridge the gap between supply and demand to ensure equilibrium at the predetermined exchange rate. The policy trade-offs and operational issues discussed here apply mainly to countries with independently floating or address disorderly market conditions,1 (iii) to accumulate foreign exchange reserves, and (iv) to supply foreign exchange to the market. The aim is to capture what are known to be widely adopted policy objectives of foreign exchange operations in many developing countries to which the best practices advocated here are primarily intended to apply.

Following the convention in the literature, the definition of intervention in this paper is narrowed to …sterilized” intervention that does not affect domestic monetary conditions (base money or short-term interest rates). To the extent that a foreign exchange operation is not, or is only partially, sterilized, then the component that is left …unsterilized” is equivalent to a monetary policy operation.2

How Can Intervention Be Effective?
Exchange rates are supposed to reflect basic supply and demand conditions, which in turn should be linked to underlying macroeconomic fundamentals. The literature provides favorable evidence on the relationship between exchange rates and fundamentals in the long term in economies with full capital mobility (Sarno and Taylor, 2002). The parity conditions also hold in developing economies with partial capital mobility (Tanner, 1998).

Exchange rates deviate substantially from values implied by fundamentals in the short term, even in well-functioning foreign exchange markets (Sarno and Taylor, 2002). Exchange rate movements violate the uncovered interest rate and purchasing power parity conditions and appear to be excessively volatile compared with underlying macroeconomic fundamentals (Mark, 2001). Moreover, macroeconomic models of exchange rate determination generally fail to outperform a naive random-walk model in out-of-sample forecasting at short time horizons (Rogoff, 1999).

The disconnect between short-term exchange rate levels and macroeconomic fundamentals creates a role for sterilized intervention. In particular, intervention may be used, possibly in conjunction with monetary policy, to stabilize market expectations, calm disorderly markets, and limit unwarranted exchange rate movements resulting from temporary shocks. Intervention may also be used in conjunction with policies to redress macroeconomic imbalances, and it can complement efforts to place macroeconomic policies on a sustainable path by resisting disruptive changes in the exchange rate, but only if there is a credible commitment to, and tangible progress on, macroeconomic adjustment.

Intervention is not an independent policy tool. Its effectiveness is based on the consistency of targeted exchange rates with macroeconomic policies. Moreover, with a high level of capital mobility, exchange rate and monetary policies cannot be conducted independently. Intervention is especially unlikely to be effective when adverse exchange movements reflect persistent macroeconomic imbalances. Protracted, one-

sided intervention on a large scale probably indicates that the current policy mix is unsustainable and that changes in exchange rate policy or other macroeconomic policies are necessary.3 Large capital inflows or fragility in the financial sector, for example, may require adjustments on several fronts, including the exchange rate, interest rates, and fiscal policies.
 
Back
Top Bottom