kushuka kwa umaarufu wa Flora Mbasha (zamani), ni laana ya Mme wa kwanza?

kushuka kwa umaarufu wa Flora Mbasha (zamani), ni laana ya Mme wa kwanza?

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Baada ya kuingia katika ndoa yake ya pili pamoja na kuzindua albamu mpya Flora kapotea kabisa. Au ni laana ya Mtumishi Wa Mungu Mme wake Wa kwanza bwana Mbasha?
 
Baada ya kuingia katika ndoa yake ya pili pamoja na kuzindua albamu mpya Flora kapotea kabisa. Au ni laana ya Mtumishi Wa Mungu Mme wake Wa kwanza bwana Mbasha?

Hana utumishi wa Mungu wowote huyo Mbasha kutwa anajibinua vitako instagram
 
Baada ya kuingia katika ndoa yake ya pili pamoja na kuzindua albamu mpya Flora kapotea kabisa. Au ni laana ya Mtumishi Wa Mungu Mme wake Wa kwanza bwana Mbasha?
Uasherati wake mwenyewe ndio uliompunguzia umaarufu.
 
Back
Top Bottom