Kushuka thamani kwa TZS dhidi ya USD ni speed ya 7G

Kushuka thamani kwa TZS dhidi ya USD ni speed ya 7G

Hizi pesa za makaratasi ni utapeli tu. Wenye mamlaka wanachezesha game. Za kwao wanazipa thamani, za kwetu wanazishusha. Ni utapeli mkubwa.

Usinijibu kwa namna walivyokuaminisha. Ni moja wapo ya kukubadilisha akili waonekane wana logic ila bado wanatufanyia utapeli.
 
M
Hizi pesa za makaratasi ni utapeli tu. Wenye mamlaka wanachezesha game. Za kwao wanazipa thamani, za kwetu wanazishusha. Ni utapeli mkubwa.

Usinijibu kwa namna walivyokuaminisha. Ni moja wapo ya kukubadilisha akili waonekane wana logic ila bado wanatufanyia utapeli.
Mkuu hizi pesa za makaratasi ni utapeli kwetu or Kwa Dunia yote. mbona wenzetu wa Dubai Mafuta Yao yanawasadia kuendesha Uchumi wao, Wasaudia piya, Kuwaiti, Irani, angalia wenzetu wachina, India, Pakistan mbona wanaokwenda vizuri kwenye Uchumi. Dubai wamekwenda mvali sana kwenye Sector ya usafiri wa Anga wanashindana na hao wenye kuprint Hela za Dunia? Dubai wanatoka kwenye Uchumi wa Mafuta wamehamia upande wapili wa sector nyingine, wanajianda na Maisha bila kutegemea Uchimbaji Mafuta.
Naomba unisadie kwanini sisi Madini yetu na mbuga za Utali zinadhindwa kuendesha nchii? Tunawatali wengi wanaingia nchini Kila mwaka jee athari Yao kiuchumi ikoje? Vp Hii migodi mikubwa inachangia % ngapi ya Pato la Taifa? Hizi kampuni za simuzinchangia % kwenye Pato la Taifa? Jee Hawa wenye hotel za kirali na makampuni ya Utali na uaya makampuni ya Uchimbaji Madini baada ya kuuza bidhaa zao wanaweka wapi hizo fedha zao za kigeni wanazolipwa Kwa mauzo wanayoyafanya? Hizi kampuni zote zinatowa fedha zao nje ama wakishauza wanaweka huko huko kwao kwenye mabenki Yao. Hao wenye kampuni za Utali Wana ofisi nje ya Nchii wageni kabla ya kuja wanalipa kabisa huko huko nje , huku wanakuja na Hela ndogo tu za matumizi ya kawaida. Hivi vyote ndio vinatuathiri sisi kwenye Uchumi wetu. Leo Hii tungekuwa na kampuni kubwa za wazawa kwenye Sector ya Madini na Utali , makampuni ya kuzalisha maua .Tungeweza kuwapa mashariti wanunuzi wote bidhaa zetu tunauza Kwa Tshs , Kila ambae angehitaji bidhaa zetu ingebidi atafute Tshs na Hela yetu ingepanda thamani, kwani Kila mtu angekuwa anatafuta Tshs Eli aweze Kununuwa bidhaa zetu. Hebu tuangalie ni wapi tumekwama kama Taifa tuweze kujikwamua. Bado muda upo wa kubadilika, ila Kwa huu mfumo wa kuagiza Ngano na Mafuta ya kula nje ya Nchii Kwa Kutumia $ (Dola) muda SI mrefu Dola against Tshs itafika 3000. Tuwe makini sana na Hawa wanasisa tuliwapa kuendesha Uchumi wetu , Bado tunashida nyingi sana kwenye monetary policy zetu. Tuna Maprofesa na Dr wengi pale BOT ila hatuoni Wanachofanya kuongeza thamani ya Tshs, Kwa macho ya kawaida tunaona madudu tu kwenye Uchumi na kudondosha thamani ya Tshs
 
Back
Top Bottom