Kusikia sauti ndani yako

Kusikia sauti ndani yako

Wala si ugonjwa.mimi ni mzima na mtu hawezi kujua yanayo nifanyikia mpaka nimweleze.Huyu anaeongea huchukua kama nafasi ya Mungu.Huniambia maneno ya kuniliwaza na kunipa matumaini.Naogopa asije kuwa ibilisi anipoteze.
 
Mim niliwahi kuwa na hali ya ajabu.mtu ananiongelesha lakini simuoni,na watu walio jirani hawamsikiii,namsikia peke tangu.kuna wakati ananiambia mambo ya kidini,wakati mwingine shida na matatizo au ajali itayo yokea.nilidumu na hali hiyo miaka 6 ikayoweka!
 
Wala si ugonjwa.mimi ni mzima na mtu hawezi kujua yanayo nifanyikia mpaka nimweleze.Huyu anaeongea huchukua kama nafasi ya Mungu.Huniambia maneno ya kuniliwaza na kunipa matumaini.Naogopa asije kuwa ibilisi anipoteze.

your very sick aseee,
kwanza kabisa dalilikubwa ya mental disorder ni poor insight (unakataa hauumwi)
second dalili kubwa ya schezophrenia mkuu ni hallucination. Auditory hallucinations are very common in schizophrenia (hearing faint noises or voices)
wahi mirembe haraka sana.

1565234034221.png


1565233776741.png
1565233793689.png
1565233808252.png
 

na jua mshana unajua
tuki rudi kwenye mambo yetu hapo ni vitu ambavyo vipo karibu yetu sema vinakuwa kwenye steji ambayo labda wewe umevipeleka kufikia hapo mpaka vina kuongelesha au kuona.
 
Kuna kitu kinachoongea ndani yangu ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu.sijaelewa ni nini.
 
na jua mshana unajua
tuki rudi kwenye mambo yetu hapo ni vitu ambavyo vipo karibu yetu sema vinakuwa kwenye steji ambayo labda wewe umevipeleka kufikia hapo mpaka vina kuongelesha au kuona.
 
Mim niliwahi kuwa na hali ya ajabu.mtu ananiongelesha lakini simuoni,na watu walio jirani hawamsikiii,namsikia peke tangu.kuna wakati ananiambia mambo ya kidini,wakati mwingine shida na matatizo au ajali itayo yokea.nilidumu na hali hiyo miaka 6 ikayoweka!
Inaelekea sasa hivi uko njia mbaya
 
Kuna kitu kinachoongea ndani yangu ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu.sijaelewa ni nini.

Kama ikiwa ni sauti ya Mungu Hiyo ndo super power ambayo ukiwa nayo inkusaidia mambo mengi sana. Hakuna jambo litakutokea uwe hujalijua na pia unapewa na solution kabla ya jambo kutokea. Lazima ujue ni wapi inatoka ili ujifunze namna ya kuitumia. Hiyo nguvu inakuwezesha kupita katika changamoto nyingi zisizowezekana kirahisi.

Na ukianza kuitumia vizuri majanga makubwa kubwa yatakufuata kwa wingi lakini utayashinda yote mwisho wa siku uhusiano wako na huyo unaeongea naye utaimalika zaidi na mwisho atakupatia wito.
 
Hali hiyo inakutokea ukiwa umeshiba au una njaa?
 
Back
Top Bottom