Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugonjwa huo, sijui unaitwaje!Kuna kitu kinachoongea ndani yangu ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu.sijaelewa ni nini.
Wakati ikiongea hunitumia mimi mwenyewe kwa hivyo huwa kama ni mimi.Naweza fikiria jambo akalijibu aitha ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu mwenyewe.Ajabu siwezi kujadiliana naye.kamwe hanijibu,lakini anajibu wazo langu.Kivipi ebu fafanua kidogo.
Wala si ugonjwa.mimi ni mzima na mtu hawezi kujua yanayo nifanyikia mpaka nimweleze.Huyu anaeongea huchukua kama nafasi ya Mungu.Huniambia maneno ya kuniliwaza na kunipa matumaini.Naogopa asije kuwa ibilisi anipoteze.
Kuna kitu kinachoongea ndani yangu ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu.sijaelewa ni nini.
na jua mshana unajua
tuki rudi kwenye mambo yetu hapo ni vitu ambavyo vipo karibu yetu sema vinakuwa kwenye steji ambayo labda wewe umevipeleka kufikia hapo mpaka vina kuongelesha au kuona.
Inaelekea sasa hivi uko njia mbayaMim niliwahi kuwa na hali ya ajabu.mtu ananiongelesha lakini simuoni,na watu walio jirani hawamsikiii,namsikia peke tangu.kuna wakati ananiambia mambo ya kidini,wakati mwingine shida na matatizo au ajali itayo yokea.nilidumu na hali hiyo miaka 6 ikayoweka!
Kuna kitu kinachoongea ndani yangu ndani kwa ndani au kwa mdomo wangu.sijaelewa ni nini.