Baba Mesha
Member
- Jun 5, 2015
- 17
- 2
Habarini Wana Jukwaa,
Mimi nina mke wangu alijifungua kwa upasuaji 0ktoba mwaka jana, sasa kuanzia mwezi Mei mwaka huu alipata siku zake ila imetokea ghafla hajaziona! Hapo kuna nini?
Nisaidieni jamani..
Mimi nina mke wangu alijifungua kwa upasuaji 0ktoba mwaka jana, sasa kuanzia mwezi Mei mwaka huu alipata siku zake ila imetokea ghafla hajaziona! Hapo kuna nini?
Nisaidieni jamani..