Kwa hiyo mwalimu alihusisha uvumi ndio akalipiza au..
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee umenikumbusha tukio moja nimecheka sana japo halihusiani na mada. KunaNdo huwa naamini vile hadi leo maana hajawahi tubadilikia kiasi kile tangu ameanza kutufundisha darasa la 5. Zaidi alipoulizwa alikana akatusingizia kama ni tabia yetu kuacha kufanya mazoezi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee umenikumbusha tukio moja nimecheka sana japo halihusiani na mada. Kuna
mwalimu mmoja alikuwa anamfukuzia binti mmoja alikuwa anafundisha kwa kujitolea mimi nilizoea kumuita dada maana alikuwa rafiki yake sister na alikuwa home girl. Siku moja my sister alikuwa amesafiri yule mwalimu kaja kuniita darasani akaniambia kaniitie dada yako mwambie aje kule kwenu na mara nyingi alizoea kunituma hata akiwa kwao. Mimi nikafanya nilichotumwa nikapeleka mrejesho kumbe yule mwalimu wa kiume ana kipindi darasani kwetu ile anajiandaa kuondoka mkuu wa shule kaingia staff akasema walimu nani ana kipindi darasa la saba naona wanapiga tu kelele (hii tuliambiwa na mwenzetu aliyekuwepo ofisini muda huo) aisee alikuja kwa hasira alitutandika fimbo za mgongoni kama anachapa ng'ombe kwa madai tunapiga kelele kwenye kipindi chake yaani alipiga hajali amepiga mgongo, kichwa, mkono, ye twende tu yaani alipiga hadi kipindi kinaisha, anauliza swali mkimbwela kidogo piga sana, sitasahau sijui alikuwa ndio ameahidiwa atapewa siku hiyo maana sio kwa mihasira ile.
Pole sana bossNilisingiziwa nimepita na best friend wa my better half. Ilikuwa ndani mtiti nje mtiti. Imani ilishuka jumla jumla.
Asante, yalishapita. Maisha yanaendelea.
Asante mkuu yaani ni kweli ndio unaelewa kweli si wote walioko jela ni wahalifuPole sana
Hapo ndio utajua kuna watu wengi wako jela kwa kusingiziwa.
Imagine mtu kahukumiwa miaka kwa kosa ambalo hajalifanya.
Umefanya niwaze sana kwa kweli
Mimi niliwahi kushtakiwa kwa jambo ambalo wala nilikuwa silijui ila niliadhibiwa na kulazimishwa kukubali kosa
Kwa kweli Africa ni shida yaani bahati ilikuwa ni shule tena hata sijabalehe halafu nabambikiwa kesi, yaani ukiukaji kabisa wa haki za watoto
Na hapo ndio tumepata uhuru hata miaka 10 haijafika
Anyway pole sana dear nenda tu ukasafishe majeraha hayo maana bila kumkabili huwezi kusamehe
Halafu hata kama nimegegedwa kuna shida gani eti? Kwanini nisigegedwe Na k ninayo?Yeah kuna vitu ambavyo havikuongezei wala kukupunguzia kitu unavipuuza tu
Very trueAsante mkuu yaani ni kweli ndio unaelewa kweli si wote walioko jela ni wahalifu
Haha pole mkuu ila na nyie mnahukumiwa kutokana na matendo ya baadhi yenu si unajua mtu uking'atwa na nyokaHuo ndio ukweli,uongo wa kusingiziwa unauma sana. Mimi kama mwalimu kijana na hata wale walimu wenzangu vijana najua mnajua ninachomaanisha.ila mungu atulinde tu.maana sometimes mtu unakua unawaza mengi sana.
Nakumbuka nikiwa O level wanaume tulikua boarding halafu kina dada walikua wanasoma day,kuna siku tunaingia kwenye pindi tukakutana na kina dada wanatoka basi zile purukushani za kupishana,kuna dada alikua ana chura balaa akashikwa tako halafu nikasingiziwa ni mimi
Daah nikapelekwa staff,walimu walinishambulia balaa,nilipigwa kama paka mwizi!
Ahahahahaha sijisogezi bwana usijaliHahaha utakuwa unaibiwa sana wewe mara hii ushaniona mi mpole