Ikiwepo bandari inakuwa ni mkataba. Huwezi kutengua ila kuufuata. Na kwa kutumia hiyo hiyo bandari kuna urahisi wa kufanya mambo yao. Lakini sasa hivi japo yanafanyika lakini hayana ''kibali''. Fikiria nje ya box na usiwe kama nyumbu!Ni kipi wachina hawapati hivi sasa kwakuwa hiyo bandari haipo? Kama bidhaa fake ziko za kutosha, kama ni malighafi bado wanapata tena kwa bei ya kutupwa. Jenga hoja za kueleweka acha kuwa kasuku.
Mchina kopa pesa kwingine mpe tender afanye kazi, lakini umkope yeye then kila kitu kitakuwa chini yake, Kule Lindi kuna mradi wa LNG umesimama ile kampuni ni Kifaransa ni wazungu lakini ninahakika hawawezi kuafikiana na Serikali maana walikuja kipindi cha Kikwete sasa mambo yamebadilika ni win win situation alikadhalika na mradi wa Mchumchuma wachina ndo waliomba wawekeze pale lakini mwisho wa siku ripoti waliyowasilisha wao ilionyesha kuna mali 40% kumbe kuna mali 85%.Hii ndo Mwalimu Nyerere aliita "Kuwekea question mark mambo ya maana ya tawala zilizopita"
Wachina watatuona hopeless, kama tumeshindwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji kama ile then sisi tupewe nini tena?
Wachina jinsi walivyojikomboa kiuchumi walikubali kuvuta investments za Watu wa Magharibi wainvest kwao leo hii wanapiga hatua.
Leo wachina wamejaribu kutumegea na sisi kainvestment ili tupate chochote kitu tunaanza kuleta nyodo!
Laiti hiyo investment ingefanywa na Mzungu basi tungepiga vigelegele huku tukishangilia!- Slave Mentality!
Unaumwa wewe akili kama bashiteNi ushauri mzuri
Serikali haijasitisha uanzishwaji wa SEZ Bagamoyo badala yake imesogeza mbele utekelezaji wake
WahuniNchi imekabidhiwa.....
Ikiwepo bandari inakuwa ni mkataba. Huwezi kutengua ila kuufuata. Na kwa kutumia hiyo hiyo bandari kuna urahisi wa kufanya mambo yao. Lakini sasa hivi japo yanafanyika lakini hayana ''kibali''. Fikiria nje ya box na usiwe kama nyumbu!
wakati mwingine mnatumia masaburi kufikiri mkuu yaani umpe mgeni miaka 50 kuendesha bandari alafu ajipangie mwenyewe tozoHii nchi inaingizwa shimoni kwa nguvu
Kwenye ukweli lazima usemwe hapa mheshimiwa umeongea ukweli, tatizo kubwa la uongozi wa sasa ni kutokujua uchumi wa dunia unaendaje na tatizo kubwa zaidi ni kutokutaka kujifunza, Rai's wetu anafanya mambo mazuri lakini hajui uchumi wadunia unaendaje, hajui umafia WA biashara za kimataifa ndio maana anaamini Tanzania ni nchi pekee duniani wazungu wanaitolea macho kumbe hajui gas, madini na rasilimali zingine ziko dunia nzima wawekezaji wanaangalia wapi pa kwenda ukiwafungia mlango huku wanaenda nchi nyingine.
Sisi bado tuna ndoto za kijamaa tukidhani ndio zitatutoa kwenye ulimwengu wa kibepari
Kwa awamu hii? Labda kumtundulisu. Ushaambiwa haambiwi cha kufanya, ukijaribu kumwambia ndio unapoteza kabisa (ktk sauti ya jiwe)Duh... wewe ni msomi kweli kweli.asante kwa uchambuzi mzuri. Pengine wakubwa wataiona hii makala na watareview maamuzi yao mara moja. Kujikwaa si kuanguka.
Makomongo hamkosekani na michango yenu ya kipumbavuChadema wameshangilia mno
Unataka kutuambia mradi huo umesitishwa kwa sababu ya kumlink JK n ZZK? Naanza kunusa harufu hiyo sasa kwa hilo neno lakoSioni lolote zaidi ya urafiki binafsi kati ya zitto na jk
Watanzani wenyewe ndo hawa! Kazi kwelikweli. Unaambiwa mradi ungetekelezwa kwa FDI wewe unazungumza Habari za hela ya Serikali! Sijui kama unaelewa maana ya FDI?Huu mradi ungebaki kwenye makaratasi tu as utekelezaji wa mradi wa Trilion 23 kwa usawa huu wa kuchangishana buku buku hautekelezeki Kwa sasa!
ZZK usisahau kuwa jimboni kwako maji tu yanayohitaji bajeti chini ya 20 B yameshindikana kupatikana! Then unatetea 23Trilion ziende Bagamoyo?
Kuna watu walishategesha huu mradi wawe wanachuma fedha mpaka vizazi na vizazi huku wabongo wakitaabika.... sasa MKEMIA akafanya TITRATION ya huu mradi kwa muda mrefu kwa kutumia double indicator , kila anapopata jibu linakuwa na linakuwa na insoluble precipitation yenye odour smell. Alivyojaribu ku calculate mole zake katika ionic reaction akawa anasikia pop sound kama anaunguza hydrojen vile. Mtaalamu aka ngastuka akaufyekelea mbali.
Mkuu umemsoma viziri na kumuelewa Zitto ?
Anasema mradi huu haujengwi kwa pesa za wanyonge.
Sio mkopo utakaolipwa kwa pesa za wanyonge.
Huu mradi ni wawekezaji wa kigeni wanakuja kuwekeza pesa zao, kama kukiwa na hasara watapata wawekezaji.
Lakini mimi kwa jicho kali naona itachukua miaka mingi zaidi ya nusu karne Tanzania kuanza kupata chochote kwenye mapato yatokanayo na huo mradi. Tungeona yale yale ya wawekezaji wa madini na kilio chao cha kupata hasara au tungeona yale yale ya hotel kubwa zile wanatangaza mapato kiduchu au hasara hivyo serikali kukosa mapato mazuri wakati huo umeipunguza kasi bandari [ya Dar es Salaam] iliyokuwa inakuletea pesa nyingi.
Huu mradi hadi tunakabidhiwa kwamba sasa ni wa kwenu uendesheni wenyewe basi miundo mbinu yote itakuwa imesha chakaa munahitaji tena uwekezaji mkubwa.
Wakati huo wote hamna mlichokusanya, pesa yote ilikuwa inarudisha mtaji na faida kwa mwekezaji.
Hapo kwenye renovation ya mradi tungejikuta tunawaita wawekezaji tena waweke pesa na kuendelea awamu nyingine ya kuvuna utajiri wetu bila sisi kupata faida kubwa.
Ni kama tungejikuta tumenaswa ktk vicious cycle (vicious circle) flani.
Udhibiti wa mali asili zetu ni changamoto nyingine kama mrado anasimamia mchina 100%.
Mjadala mzito na bado naona hoja zingine za Zitto zina nguvu, tuendeleze mjadala.
Sorry mkuuTayari umehaharibu mjadala kwa kutumia maneno makali ya kashifa na dharau.
Ungepukiwa na nini kama usingetumia neno 'upunguani'?
Ni kitu cha ajbu kumuona mwenzio punguani sababu mmetofautiana vipaumbele au misimamo.
Kila la heri kiongozi.