Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wakati nipo mdogo mzee wangu aliniachia atlas. ilikuwa ya kiswahili na picha nzuri sana. Basi nikiisoma nilikuwa najenga picha hiyo sehemu ikoje napata raha sana.
Kuna haya majina yalikuwa yananifurahisha sana.
Kampuchea ni Laos au Cambodia.
Korongo kuu, nilikuwa nawaza likoje hilo korongo kumbe ndiyo grand canyon.
Kuna korongo la kifo/ndiyo death valley, hili lilikuwa linaniogopesha sana.
Kusoma atlas inafanya kufuatilia habari na movies iwe rahisi.
Jamaa mmoja aliniambia ndugu yake yuko ulaya, nikamuuliza nchi gani akasema sijui ila kuna nchi inaitwa ulaya?!
Mwingine ananiambia Marekani kubwa sana, mfano toka Calfornia hadi Los Angeles si mchezo!?
Umewahi penda kusoma atlas?
Kuna haya majina yalikuwa yananifurahisha sana.
Kampuchea ni Laos au Cambodia.
Korongo kuu, nilikuwa nawaza likoje hilo korongo kumbe ndiyo grand canyon.
Kuna korongo la kifo/ndiyo death valley, hili lilikuwa linaniogopesha sana.
Kusoma atlas inafanya kufuatilia habari na movies iwe rahisi.
Jamaa mmoja aliniambia ndugu yake yuko ulaya, nikamuuliza nchi gani akasema sijui ila kuna nchi inaitwa ulaya?!
Mwingine ananiambia Marekani kubwa sana, mfano toka Calfornia hadi Los Angeles si mchezo!?
Umewahi penda kusoma atlas?