nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,441
- 2,220
Wakuu nawasalimu .
Nina mdogo wangu ana ndoto ya kuwa mwanasheria/wakili. Baada ya kumaliza advance level mwaka jana akapata division 2 ya points 12'
Lengo afanye Diploma ya sheria kisha degree.
Naomba mnipe msaada wa mawazo, kwa ufaulu wake ni vyema afanye anavyotaka, na faida na hasara za kufanya diploma kisha degree.. pia chuo gani anaweza kuomba kutimiza ndoto yake.
Nawasilisha, pia mnisamehe kwa kuleta uzi huu jukwaa la sheria na sio Elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mdogo wangu ana ndoto ya kuwa mwanasheria/wakili. Baada ya kumaliza advance level mwaka jana akapata division 2 ya points 12'
Lengo afanye Diploma ya sheria kisha degree.
Naomba mnipe msaada wa mawazo, kwa ufaulu wake ni vyema afanye anavyotaka, na faida na hasara za kufanya diploma kisha degree.. pia chuo gani anaweza kuomba kutimiza ndoto yake.
Nawasilisha, pia mnisamehe kwa kuleta uzi huu jukwaa la sheria na sio Elimu
Sent using Jamii Forums mobile app