nshimiyimana
Member
- Oct 18, 2014
- 40
- 25
Mimi ni mwanachuo wa sheria mwaka wa tatu na wa mwisho nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya options ya insuarance law na human rights ipi niisome najua wazi kuwa nikifika law school human rights ntaikuta kama core subject
Sasa nipe ushauri na huku mkinipa sababu ni ipi ipo marketable.
Natanguliza shukrani
Sasa nipe ushauri na huku mkinipa sababu ni ipi ipo marketable.
Natanguliza shukrani