Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kinaishia darasani ukitoka mpaka kipindi kijacho. Na waalimu wenyewe wanafundisha kiingereza kwa kiswahiliKusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
View attachment 3158835
Kusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
nimeona sana watoto wa english medium wakiitwa mashoga kisa hawajui kiswahiliShoga?!
Huo ni wivu wa kike.Kama mtu amekaa darasani miaka 15 halafu hajaielewa lugha anayoisomea,huyo ni mdumavu pyuwa!Kusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
Tatizo ni walimu na mwanafunzi pia kutozungumza hiyo lugha, (Practice makes perfect)Kusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
Kusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
Mfano mzuri wazungu wakija Tanzania ukiwaongelesha kwa kimombo wao wanajibu kwa kiswahili ili wajifunze kiswahiliKitu chochote ukijifunza bila kupractice huwezi kukimudu. Ndio kingereza kinafundishwa ila kinaachwa darasani , wanafunzu wakiwa hata nje ya darasa hawakitumii.
Nafuu Iko kwa wale wa English Medium... Hao angalau Wana practice.....