kusoma masters HEALTH MONITORING & EVALUATION.

kusoma masters HEALTH MONITORING & EVALUATION.

Mbelwa Germano

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2011
Posts
789
Reaction score
289
Habari wana jf,kuna kozi mpya imeanzishwa mwaka huu pale mzumbe university ya health monitoring and evaluation,je kwa mwalimu wa B.A.ED anaweza kusomea hii kozi au ni spesho kwa watu waliosoma bachelor za afya tu?,vipi kuhusu ajira zake na ushindani sokoni?? NAOMBENI MCHANGO WENU TAFADHALI.
 
nami nimeiona ila bado hawajaweka ufafanuzi kamili na pia hi ni program ya kusoma online... then kuhusiana na ajira sokjon cku zote knowledge ya monitoring na evaluation inahitajika sana hususani katika mashirika makubwa ya misaada kama amref na mengine mengi
 
Nakushauri kabla hujachukua hatua ya kusomea hii coz ujiulize masuali mawili. Unataka kuwa nani ndani ya miaka mitano ijayo, je uko interested kufanya kazi za monitoring and evaluation, je utaiweza (unapenda research, kuandika report, hesabu(statistics) etc..usiande tu kwa kushauriwa jenga interest zake na uzifuate..
 
Back
Top Bottom