mimi nmechaguliwa open university bachelor degree chemistry with zoology (Bsc chemistry n zoology (minor)l.Guys kwa anayehitaji msaada juu ya kusoma Open. Please weka tatizo hapa tutakusaidia tuliotangulia, uzoefu upo wa kutosha.
NB: Sihitaji inbox messages. Karibuni.
mimi nmechaguliwa open university bachelor degree chemistry with zoology (Bsc chemistry n zoology (minor)l.
Tatzo langu nimeshachagua courses na kuzilipia lakini hadi sasa moodle haifanyi kazi nimeshaenda DRC anadai niendelee kusubir wiki ya pili hii sina hata notice na masomo yangu ndo hayo daah.
Pole kwa changamoto iliyokupata. Je, umeweza kutengeneza Nywila (password) ya Moodle? Kama huna nywila ya Moodle hutaweza kuingia kwenye Moodle.mimi nmechaguliwa open university bachelor degree chemistry with zoology (Bsc chemistry n zoology (minor)l.
Tatzo langu nimeshachagua courses na kuzilipia lakini hadi sasa moodle haifanyi kazi nimeshaenda DRC anadai niendelee kusubir wiki ya pili hii sina hata notice na masomo yangu ndo hayo daah.
Nywila inatengenezwa baada ya kuwa registered kwenye account ya moodle.Pole kwa changamoto iliyokupata. Je, umeweza kutengeneza Nywila (password) ya Moodle? Kama huna nywila ya Moodle hutaweza kuingia kwenye Moodle.
Nywila ya Moodle hutengenezwa kwenye account ya SARIS (ambayo pia ndio account yako ya Moodle). Ni hii inawezekana tu pindi unapolipa angalau nusu ya malipo unayotakiwa kulipa. Kwenye SARIS account yako utatakiwa kuingiza PI code ya invoice yako. Then unatengeneza password hapo.Nywila inatengenezwa baada ya kuwa registered kwenye account ya moodle.
Nasisitiza wengi mlio wagen jiungen katika ma group ya WhatsApp, ya wanafunzi wa OUT, mtasaidiwa haraka, kwakuwa kule kuna baadhi pia walikuwa na matatizo kama hayo, wakapata miongozo toka kwa wenzao
Bado kuna uwezekanao wa kutuma maombi ya kusoma masters kwa mwezi disemba?ada zao ni shilingi ngapi?Guys kwa anayehitaji msaada juu ya kusoma Open. Please weka tatizo hapa tutakusaidia tuliotangulia, uzoefu upo wa kutosha.
NB: Sihitaji inbox messages. Karibuni.
Nenda kituo chako cha mkoa umuone Regional coordinator atakupa taarifa sahihi za usajili.Bado kuna uwezekanao wa kutuma maombi ya kusoma masters kwa mwezi disemba?ada zao ni shilingi ngapi?
Ahsante nilifanikiwa kuingia moodle tatzo lilikuwa DRC hajapload malipo yanguNywila inatengenezwa baada ya kuwa registered kwenye account ya moodle.
Nasisitiza wengi mlio wagen jiungen katika ma group ya WhatsApp, ya wanafunzi wa OUT, mtasaidiwa haraka, kwakuwa kule kuna baadhi pia walikuwa na matatizo kama hayo, wakapata miongozo toka kwa wenzao
Nywila inatengenezwa baada ya kuwa registered kwenye account ya moodle.
Nasisitiza wengi mlio wagen jiungen katika ma group ya WhatsApp, ya wanafunzi wa OUT, mtasaidiwa haraka, kwakuwa kule kuna baadhi pia walikuwa na matatizo kama hayo, wakapata miongozo toka kwa wenzao
Coordinator anaweza kukusaidia, maana huwa wana groups za wanafunzi zinazowasaidia kutoa taarifa mbali mbali zinazohusu wanafunzi.Tatzo ni kuzipata hzo groups mkuu
Ni kweliNasikia una uhuru wa kuchagua idadi ya masomo na aina ya masomo ya kusoma kwa semester.
Naomba kujua kwa mfano nimechaguliwa kusoma MASTERS . alafu nimesoma unit chache na nikazilipia. Je nitarihusiwa kuendelea kusoma unit nyingine mpaka nagraduate bila kumalizia ada ya unit zinazobaki. Alafu wakabaki na cheti hadi nimalizie ada yao??? Au utaratibu ukoje?Guys kwa anayehitaji msaada juu ya kusoma Open. Please weka tatizo hapa tutakusaidia tuliotangulia, uzoefu upo wa kutosha.
NB: Sihitaji inbox messages. Karibuni.
Mkuu, ni vigumu kuendelea na unit nyingine bila kulipia! Na hivyo hutakuwa na access ya moodle ambapo assignment na discussion mbalimbali hifanyika! Kwa hiyo hutafanya assignment wala mijadala mbali mbali inayohusu course husika.Naomba kujua kwa mfano nimechaguliwa kusoma MASTERS . alafu nimesoma unit chache na nikazilipia. Je nitarihusiwa kuendelea kusoma unit nyingine mpaka nagraduate bila kumalizia ada ya unit zinazobaki. Alafu wakabaki na cheti hadi nimalizie ada yao??? Au utaratibu ukoje?
Asante
Habari!Asante kwa kufuatilia mjadala.
Mimi ninasoma Masters, hivyo nadhani kuna utofauti wa katika ada pamoja na mambo mengine, lakini bado nina nafasi ya kukuelezea yale ninayo yafahamu.
1. Ada - Chuo Kikuu Huria tunalipa ada kwa Unit, ninaposema unit maana yake ni Structure/Composition/Uzito wa course husika, Uzito wa course ndio huonyesha unit za ulipaji, mfano kama course ina unit moja na ada yake unit ni tsh 180,000 maana yake ni kuwa somo lenye unit 2 ada yake itakuwa 180,000x2 = 360,000.
Hivyo huku tunalipa ada kwa course unazochukua kwa kipindi husika cha masomo, na kwa uzoefu wangu mara nyingi course za undergraduate huwa zina mchanganyiko wa unit kuna ambazo zina units 1 na ambazo zina units 2, na mara nyingi course zenye unit 2 zinakuwaga ngumu na hubeba dhamana kubwa katika matokeo yako. hivyo ni vyema unaposoma uwe mwangalifu wa course zenye unit 2.
2. Kuhusu muda wa kumaliza degree - Mkuu nadhani hili nashindwa kulijibia kwakuwa mimi ninasoma Masters, lakini kwa ufahamu wangu ni kuwa kiwango cha chini kabisa kilichowekwa na mamlaka ya elimu tanzania kuhusu kupata degree ni miaka 3, hivyo sidhani kama kuna uwezekano wa kupata Degree chini ya miaka mitatu.
Nami pia nilikuwa ninadhani kama hii, ya kufanya Masters ndani ya mwaka mmoja, lakini imeshindikana sabab chuo kina sisitiza kila course lazima isomwe kwa miezi isiyopungua mitatu. so hata ufanyeje ni lazima uwe ndani ya kipindi kilichowekwa na chuo ili kukidhi ile dhana ya muda uliyowekwa kwa ajili ya Degree au Masters au Phd.
Lakini pia kumbuka huwezi kusoma tu kisha ugraduate, ndio mana kuna mitihani ambayo hupangwa kwa muda husika, hivyo sio speed yako ya usomaji itakufanya kuwa na nafasi ya komba mtihani muda wowote unapojiona uko tayari kwa ajili ya mtihani, waalimu wanahitaji kujipanga kisha kuandaa mitihani kwa muda/semista husika.
Pia hata kama umepata nafasi ya kumemaliza course work ndani ya miaka miwili, utalazimika kusubiri miaka miatatu ipite ndio ugraduate, maana yake utakaa pending mwaka mmoja kusubiri miaka mitatu itimie
3.Utaratibu wa Field - Kama nilivyosema,awali, mimi ninasoma masters, lakini bado ninatambua kuwa Chuo kina muhula kama ilivyo kwa vyuo vingine, hivyo utaratibu wa mafunzo kwa vitendo upo kama kawaida na wanafunzi huomba katika taasisi mbali mbali ili kufanya mazoezi kwa vitendo, hii pia inategemea na course unayosomea, kuna wengine hufanya mazoezi wakiwa mwaka wa kwanza, wengine mwaka wa pili na wengine hufanya mwaka wa tatu. na mazoezi haya ya vitendo unaweza fanya katika ofisi unayofanyia kazi au sehemu yoyote ambapo unaona itafaa kwa ajili ya kutimiza matakwa ya mazoezi ya vitendo na kupata recommendation toka kwa supervisor wako.
Mwisho. mfumo wanaotumia chuo kikuu huria ni mfumo unaotumika sana katika vyuo vingi vya nje, na jambo linalofurahisha zaidi ni aina ya delivery ya materials inayotumiwa na waalimu wa OUT, kwakweli ina motivate hata mtu kusoma kwa bidii, walimu wanasisitiza mwanafunzi kuelewa na sio kukariri, na ndio mana assignment pamoja na mazoezi mbalimbali huwekwa katika platform inayoitwa MOODLE (Modular Object-Oriented Dynamic Learning Environment), yaani kwa namna yoyote mwalimu lazima atajua kama umecopy na kupaste sababu wana software ambazo zimeshakuwa attached to moodle ambazo zinadetect mambo hayo.
Habari!
kwa kutumia uzoefu wako na maelezo yako natumai utanipa majibu sahihi. Mimi nilifanya online application wiki mbili nyuma na leo nimetumiwa Email ya majibu na majibu yenyewe ni kama ifutavyo.
"This is to inform you that you have been admitted into Masters in .............. at the Open University of Tanzania (OUT), Once names are posted to OUT website kindly visit any nearby OUT centre for more information on orientation"
Hivyo kwa maelezo hayo nikusubiri mpaka pale majina yatakapotolewa kwenye tovuti ya chuo ndiyo natakiwa kulipoti kwenye kituo chochote cha Open University Tanzania kilichopo karibu na mimi.
Habari!
kwa kutumia uzoefu wako na maelezo yako natumai utanipa majibu sahihi. Mimi nilifanya online application wiki mbili nyuma na leo nimetumiwa Email ya majibu na majibu yenyewe ni kama ifutavyo.
"This is to inform you that you have been admitted into Masters in .............. at the Open University of Tanzania (OUT), Once names are posted to OUT website kindly visit any nearby OUT centre for more information on orientation"
Hivyo kwa maelezo hayo nikusubiri mpaka pale majina yatakapotolewa kwenye tovuti ya chuo ndiyo natakiwa kulipoti kwenye kituo chochote cha Open University Tanzania kilichopo karibu na mimi.
Wamenipa Numba kwenye Email yangu ila bado sijawapigia nilikuwa nasubiri majina yatoke kwenye website.Unaweza kufika kuanzia hapo ulipotumiwa huo ujumbe mkuu, kituo chochote cha OUT kilicho karibu nawe, njoo Pm mkuu nikupe namba za wahusika wa hili
Hivyo kwa sasa nisubiri majina yawekwe kwenye Website ya chuo, baada ya hapo nireport kwenye kituo chochote cha OUT. Hivyo eveidence ya kuonyesha hapo kituoni ni majina yatakayowekwa kwenye website.Hiyo ni notification juu ya status ya maombi yako. wanakutaalifu kuwa tayari umekuwa admitted.
Hivyo, orodha ya majina yakiwekwa kwenye website yao, utapaswa kutembelea kituo chochote cha OUT kilichopo karibu na wewe ili upate taarifa zaidi juu ya usajili wako pamoja na orientation.
Pia nakushauri, utembelee OUT centr iliyoko karibu yako upate muongozo zaidi juu ya Email uliyo tumiwa.
Asante.
Nakushauri uende kituo chochote cha OUT kupata ushauri juu ya usajili wakoHivyo kwa sasa nisubiri majina yawekwe kwenye Website ya chuo, baada ya hapo nireport kwenye kituo chochote cha OUT. Hivyo eveidence ya kuonyesha hapo kituoni ni majina yatakayowekwa kwenye website.
Asant mkuuu nimetuma maombi ya kuomba bacharol chemistry B,biology C,Geography C kwa direct huku nikiwa na diploma tena yenye GPA nzuri na yenye kukizi vigezo ila vyeti hivi viko mbali nami nikaona naweza chelewa April intake je naweza pata kweliGuys kwa anayehitaji msaada juu ya kusoma Open. Please weka tatizo hapa tutakusaidia tuliotangulia, uzoefu upo wa kutosha.
NB: Sihitaji inbox messages. Karibuni.