Kusoma Masters Open University of Tanzania

Kusoma Masters Open University of Tanzania

stable, Wanazuoni na mimi nahitaji msaada wetu. Nina BAED (Shahada ya Ualimu) nimeomba Open Degree ya Law.

Kuna kosa nimelifanya kwenye system wakati wa kuomba. Nimeomba kwa Direct entry nimejaza kila kitu nikatuma, nkagundua kuna kitu nimekosea nikaedit nikatuma tena.

Mara nikasoma maelekezo tena nikaona wanasema lazima uwe na 4.0 cut points. Mimi nina 3.5, kuna jamaa akaniambia niapply kama Equivalent nikafanya hivyo nikatuma tena sasa hii inakuwa mara ya tatu.

Wasiwasi wangu je nitachaguliwa kweli, maana nimetuma mara 3 na ni moja tu ambayo inaonyesha vigezo hii ya Equivalent pekee. Na je ukikosa unatakiwa kufanya nini? Naombeni neno lenu ndugu zangu.
 
Wanazuoni na mimi nahitaji msaada wetu. Nina BAED (Shahada ya Ualimu) nimeomba Open Degree ya Law.

Kuna kosa nimelifanya kwenye system wakati wa kuomba. Nimeomba kwa Direct entry nimejaza kila kitu nikatuma, nkagundua kuna kitu nimekosea nikaedit nikatuma tena.

Mara nikasoma maelekezo tena nikaona wanasema lazima uwe na 4.0 cut points. Mimi nina 3.5, kuna jamaa akaniambia niapply kama Equivalent nikafanya hivyo nikatuma tena sasa hii inakuwa mara ya tatu.

Wasiwasi wangu je nitachaguliwa kweli, maana nimetuma mara 3 na ni moja tu ambayo inaonyesha vigezo hii ya Equivalent pekee. Na je ukikosa unatakiwa kufanya nini? Naombeni neno lenu ndugu zangu.
Nikushauri yafuatayo:
1. Open University ina vituo kila mkoa, nenda haraka kituo cha mkoa uliopo, hilo sio tatizo kubwa la kukufanya ukate tamaa.

2. Nakushauri usome Prospectus ya chuo imeeleza vizuri sifa za kujiunga na OUT, kwa wale wa Direct entry and Equivalent entry. Prospectus inapatikana website ya chuo.

3. Hakikisha unapofanya application tena unapata msaada wa wasimamizi wa vituo (Regional Coordinator) wao wana ufahamu mpana wa nini unapaswa kufanya.
 
Nikushauri yafuatayo.
1. Open university ina vituo kila mkoa, nenda haraka kituo cha mkoa uliopo, hilo sio tatizo kubwa la kukufanya ukate tamaa.

2. Nakushauri usome Prospectus ya chuo imeeleza vizuri sifa za kujiunga na OUT, kwa wale wa Direct entry and Equivalent entry. Prospectus inapatikana website ya chuo.

3. Hakikisha unapofanya application tena unapata msaada wa wasimamizi wa vituo (Regional Coordinator) wao wana ufahamu mpana wa nini unapaswa kufanya
Nashukuru. Nitakwenda kesho Kinondoni alafu nitakujuza.
 
Ok. Naamini utafanikiwa
Nimefanikiwa, nimechaguliwa kuchukua Bachelor of Laws intake hii ya July. Sasa bado nipo gizani natamani nipate mtu anayesoma/aliyesoma ili anipatie mwongozo jinsi ya ulipaji wa ada kwa hizo kozi nk.
 
Nimefanikiwa, nimechaguliwa kuchukua Bachelor of Laws intake hii ya July. Sasa bado nipo gizani natamani nipate mtu anayesoma/aliyesoma ili anipatie mwongozo jinsi ya ulipaji wa ada kwahizo kozi nk.
Upo mkoa gani?
 
Nimefanikiwa, nimechaguliwa kuchukua Bachelor of Laws intake hii ya July. Sasa bado nipo gizani natamani nipate mtu anaesoma/aliyesoma ili anipatie mwongozo jinsi ya ulipaji wa ada kwahizo kozi nk..
Pga 0654865376
 
Guys kwa anayehitaji msaada juu ya kusoma Open. Please weka tatizo hapa tutakusaidia tuliotangulia, uzoefu upo wa kutosha.

NB: Sihitaji inbox messages. Karibuni.
 
Back
Top Bottom