Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
-
- #21
Mm ninae ndugu wa kuitwa nelson Huyu ni mfano halisi wa anacho zungumza Kiranga .Mkuu,
Tumeona kuwa hata hao wanaoitwa failures, wengine si failures kweli, ni mifumo tu inawafelisha.
Kuanzia ukosefu wa vifaa, walimu, nafasi, mpaka usahihishaji.
Kuna watu wamefeli kwa sababu hakukuwa na nafasi, si kwamba wamefeli kweli.
Tumeona kuna yule binti wa Kiislamu alifelishwa na baraza la mitihani, akakata rufaa, akapewa matokeo tofauti kabisa.
Sasa kuna watu wangapi wamekubali matokeo si hao na hata hawakukata rufaa?
Kuna binti wa kiongozi mkubwa alifeli sekondari, akasomeshwa private akaendelea mpaka Ph.D, akaja kuwa mtaalamu wa kutegemewa katika vyombo vya afya vya nchini mpaka United Nations!
Kuna vitu vinashangaza sanaa.....katika hii nchi kungekua na tuzo au sanamu za WALIMU BORA...Elimu za mbele Zipo good ila za bongo ni mbovu maana zinafundishwa na walimu waliofeli
The experience I gained from going to a 4-year liberal arts college in the US, was/is invaluable.Nitatoa mfano wa Marekani, kwa sababu ndipo niliposomea.
Nilipokuwa nasoma undergraduate, kulikuwa na somo moja elective la Philosophy. Halikuwa la lazima kwa course yangu. Nililichagua kwa sababu napenda Philosophy.
Sasa basi, kuanzia siku ya kwanza, kabla ya kujuana sana na Profesa, sikungojea sana kuanza ubishi wa kifalsafa.
Badala ya kubishia mada ya darasani, nikaanza kulibishia somo lenyewe, kwamba somo limeitwa Philosophy, lakini katika materials tunazungumzia Western Philosophy tu. Yani hakuna hata topic moja kuzungumzia falsafa za Asia au Africa, ilikuwa Wagiriki na kwenda mbele kwenye Western Philosophy.
Profesa akajitetea kwamba hivyo ndivyo somo lilivyo, na hata akitaka kufundisha nje ya hapo, hana ujuzi nako.
Profesa wa somo alikuwa mtu tofauti sana na mimi, alikuwa mzungu, mimi muafrika, alikuwa conservative, mimi nilikuwa liberal, alikuwa mzee, mimi nilikuwa kijana, alikuwa a relatively wealthy published judge, mimi nilikuwa mwanafunzi kutoka Afrika.
Basi kutoka hapo, kila siku darasani ubishi kwenda mbele. Yani huyu Kiranga unayemuona hapa ana afadhali, darasani ilikuwa Kiranga++. Mpaka siku nyingine nikaona nina dominate sana darasa. Nabishana na Profesa, namtajia vitabu, falsafa, nazama ndani sana.
Kuna dada mmoja mpaka akaniuliza, hivi, ule ubishi unaofanya darasani, ni kweli unaamini vile au unafanya figisu za kuchangamsha darasa tu? Nikamwambia naamini kweli.
Basi, siku ya mtihani wa mwisho ikasogelea, nikawa najiandaa kwa mtihani.
Nilikuwa maktaba ya chuo nasoma, nikaona email imeingia kutoka kwa huyu Profesa. Ananiambia usije kwenye mtihani wa mwisho.
Nikasema loooh salaaaleh, hapa ndipo napata ujira wa ubishi wangu wa kila siku darasani. Profesa ananifelisha kabla sijaingia kwenye chumba cha mtihani.
Nikamuuliza Profesa, vipi? Kwa nini nisije?
Akasema ushapasi mtihani kwa coursework yako.
Nikasema sasa nimepasi kwa alama gani?
Akaniambia A+, zile nindo ulizokuwa unatoa darasani si nondo za degree ya kwanza (undergraduate). Zile ni nondo za degree ya pili.
Jambo hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu uhuru uliopo katika mfumo wa elimu wa Marekani.
Nikajiuliza sana, kama ningekuwa katika vyuo vyetu vya nyumbani, je, ningeweza kudiriki kubishana na Profesa vile? Je, Profesa angeniachia nibishane naye vile? Je, angeweza kunipongeza kwa ubishi wangu kwa kuwa umebeba mantiki? Je, angeweza kunipa A+ na kuniambia nisije katika mtihani wa mwisho?
Profesa yule alikuja kutaka kuwa rafiki yangu sana, alitaka niende kuwa msemaji katika mikutano yao na kujenga network zaidi.
Kuna faida nyingi za kusoma nje, kuona dunia, kujenga network (kuna mdogo wangu alipata kazi Dar, kwa kampuni ya Wa South Africa, kwa kuwa tu waliona amehitimu University of Cape Town, chuo ambacho wao wanaamini ni "Harvard of Africa".
Ila pia, kusoma nje ni gharama kubwa, kama suala la gharama linakuwa mzigo mkubwa, mtu anaweza kuanza kusoma nyumbani, halafu akajiendeleza kusoma nje hata mitandaoni tu, siku hizi teknolojia inaruhusu.
Tumia lugha moja tafadhaliKusoma Nje ya Nchi: Is It Worth it?
If you have traveled out to obtain another degree, could you please share your experience around the points below:
- What major difference did you notice in the education system that you think should be implemented in the Tanzanian education sector?
- Je? utawahimiza wanafunzi kuchukua mkopo kwa ajili ya kusoma nje ya nchi?
- Kusoma nje ya nchi kuliku badilishaje kama mtu? na una hisi ilikuwa na athari gani ya moja kwa moja kwenye maendeleo yako binafsi ya ki kazi na ki maisha.
Let's hear from you...
Ndugu Nelson ilikuwaje mkuu?Mm ninae ndugu wa kuitwa nelson Huyu ni mfano halisi wa anacho zungumza Kiranga .
Ntasoma comments, exposure is always goodKusoma Nje ya Nchi: Is It Worth it?
If you have traveled out to obtain another degree, could you please share your experience around the points below:
- What major difference did you notice in the education system that you think should be implemented in the Tanzanian education sector?
- Je? utawahimiza wanafunzi kuchukua mkopo kwa ajili ya kusoma nje ya nchi?
- Kusoma nje ya nchi kuliku badilishaje kama mtu? na una hisi ilikuwa na athari gani ya moja kwa moja kwenye maendeleo yako binafsi ya ki kazi na ki maisha.
Let's hear from you...
Universalization and internationalization through education, grateful for the opportunity I had, I can't complain, imagine the entire class full of representation from diverse cultures, Bosnia, Slovenia, Montenegro, Serbia, India, Colombia, China, Mongolia, Uzbekistan, Tanzania, Italy, Germany, France, Ukraine, Russia, Croatia, Austria, UK, Hungary, Romania, Golden chance I loved it.The experience I gained from going to a 4-year liberal arts college in the US, was/is invaluable.
I think I’m a better person because of it.
I have better interpersonal skills because of it .
I’m less judgmental. More open minded. No longer closed minded
I’m very understanding and accepting of others’ points of views. And so much more.
These experiences were mostly gained outside the classroom.
For those seeking to study overseas, especially in the US for their undergrad, I recommend they go to a liberal arts college that puts an emphasis on diversity and one that has a decent sized international students’ student body.
For the first two years, the school I went to did not allow international students to reside off-campus.
So for my freshman year, first semester , I was assigned a Norwegian roommate.
Then during summer school, I was paired with a Haitian dude from South Florida.
Sophomore year, I had an Ethiopian. In my Junior and Senior years, I opted to reside off- campus.
Hiyo experience ya kuishi na hao roommates pamoja na kushiri katika extracurricular activities, vilinijenga sana. Ni experience ambayo mpaka leo bado naitumia.
Experience kama hiyo sidhani kama mtu anaweza kuipata endapo atasoma vyuo vya ndani tu.
UDSM haina international students body iliyo kubwa na iliyo diverse.
Nakumbuka during orientation ambapo kila mtu alijitambulisha na kutaja anapotoka, mabara yote ya dunia yaliwakilishwa.
Kabla ya hapo sikuwahi kukutana na mtu yoyote kutoka Armenia, Peru, Afghanistan, Cyprus, wala Panama.
But through college, I got to meet and go to school with people from all of those places and more.
Interaction na watu walio tofauti na wewe na wanaotokea pande zingine za dunia nayo ni elimu nzuri sana.
Umeandika vizuri kwa wengi kuelewa kirahisi safi sana Mkuu kwa maandishi haya naona kweli una vitu tofauti vijana wanatakiwa wapate kutoka Exposure uliyoipata..The experience I gained from going to a 4-year liberal arts college in the US, was/is invaluable.
I think I’m a better person because of it.
I have better interpersonal skills because of it .
I’m less judgmental. More open minded. No longer closed minded
I’m very understanding and accepting of others’ points of views. And so much more.
These experiences were mostly gained outside the classroom.
For those seeking to study overseas, especially in the US for their undergrad, I recommend they go to a liberal arts college that puts an emphasis on diversity and one that has a decent sized international students’ student body.
For the first two years, the school I went to did not allow international students to reside off-campus.
So for my freshman year, first semester , I was assigned a Norwegian roommate.
Then during summer school, I was paired with a Haitian dude from South Florida.
Sophomore year, I had an Ethiopian. In my Junior and Senior years, I opted to reside off- campus.
Hiyo experience ya kuishi na hao roommates pamoja na kushiri katika extracurricular activities, vilinijenga sana. Ni experience ambayo mpaka leo bado naitumia.
Experience kama hiyo sidhani kama mtu anaweza kuipata endapo atasoma vyuo vya ndani tu.
UDSM haina international students body iliyo kubwa na iliyo diverse.
Nakumbuka during orientation ambapo kila mtu alijitambulisha na kutaja anapotoka, mabara yote ya dunia yaliwakilishwa.
Kabla ya hapo sikuwahi kukutana na mtu yoyote kutoka Armenia, Peru, Afghanistan, Cyprus, wala Panama.
But through college, I got to meet and go to school with people from all of those places and more.
Interaction na watu walio tofauti na wewe na wanaotokea pande zingine za dunia nayo ni elimu nzuri sana.
Mkwe kumbe huwa mnawapilizia mabeberu😀Ndiyo.
Kuna faida nyingi sana. Exposure. Kuiona dunia ilivyo na jinsi wenzetu walikofikia. Pia unaona elimu ya wenzetu ilivyo mpaka unatambua kuwa hawajaendelea kwa kubahatisha bali wamewekeza sana kwenye elimu. Na ualimu ni taaluma inayoheshimika sana kiasi kwamba siku Mpwayungu Village akienda kule itabidi atubu na kuwaomba msamaha walimu wote.
Ni vizuri zaidi ukipata full scholarship wewe kazi yako inabaki kupiga kitabu tu na ukiamua kufanya kazi basi iwe ni kwa hiari yako kwa ajili ya kupata vijisenti vya ziada.
Kama una mpango wa kurudi home baada ya masomo pengine siyo wazo zuri kuchukua mkopo maana hata ukirudi na degree yako nzuri nobody cares huku nyumbani labda ubahatishe kwenye international NGOs/organizations ambako malipo kidogo ni nafuu. Vinginevyo itakubidi uwe na connection nzuri bila ya hapo utakutana na vizee vya vitengo huko vimekakawana vitakufanyia figisu na hata kukurestisha ini pisi ukizubaa.
Na ukiwa mtundu unaweza kuja na wazo zuri la kujiajiri japo itakulazimu ujiandae kwa vipingamizi na ukiritimba utakaokutana nao. Ni vyema ukienda kusoma mambo ya afya, kompyuta, uhandisi, uchumi, sheria na mambo yanayohusiana na finances.
Oooh...na mademu wa kizungu unawachakaza unavyotaka na kulipiza kisasi japo kidogo kwa waliyofanyiwa mababu zetu akina Kijenketile Ngwale, Mkwawa na Mangungo...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Elimu, elimu, elimu....hakuna siri nyingine ya maendeleo ya kweli!
View attachment 2471248
💯🤝Kama ulifeli na nyumbani hela zipo kasome nje ya nchi, urudi usimamie miradi
Hii full scholarship inapatikanajeNdiyo.
Kuna faida nyingi sana. Exposure. Kuiona dunia ilivyo na jinsi wenzetu walikofikia. Pia unaona elimu ya wenzetu ilivyo mpaka unatambua kuwa hawajaendelea kwa kubahatisha bali wamewekeza sana kwenye elimu. Na ualimu ni taaluma inayoheshimika sana kiasi kwamba siku Mpwayungu Village akienda kule itabidi atubu na kuwaomba msamaha walimu wote.
Ni vizuri zaidi ukipata full scholarship wewe kazi yako inabaki kupiga kitabu tu na ukiamua kufanya kazi basi iwe ni kwa hiari yako kwa ajili ya kupata vijisenti vya ziada.
Kama una mpango wa kurudi home baada ya masomo pengine siyo wazo zuri kuchukua mkopo maana hata ukirudi na degree yako nzuri nobody cares huku nyumbani labda ubahatishe kwenye international NGOs/organizations ambako malipo kidogo ni nafuu. Vinginevyo itakubidi uwe na connection nzuri bila ya hapo utakutana na vizee vya vitengo huko vimekakawana vitakufanyia figisu na hata kukurestisha ini pisi ukizubaa.
Na ukiwa mtundu unaweza kuja na wazo zuri la kujiajiri japo itakulazimu ujiandae kwa vipingamizi na ukiritimba utakaokutana nao. Ni vyema ukienda kusoma mambo ya afya, kompyuta, uhandisi, uchumi, sheria na mambo yanayohusiana na finances.
Oooh...na mademu wa kizungu unawachakaza unavyotaka na kulipiza kisasi japo kidogo kwa waliyofanyiwa mababu zetu akina Kijenketile Ngwale, Mkwawa na Mangungo...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Elimu, elimu, elimu....hakuna siri nyingine ya maendeleo ya kweli!
View attachment 2471248
Hongera sana BudaThe experience I gained from going to a 4-year liberal arts college in the US, was/is invaluable.
I think I’m a better person because of it.
I have better interpersonal skills because of it .
I’m less judgmental. More open minded. No longer closed minded
I’m very understanding and accepting of others’ points of views. And so much more.
These experiences were mostly gained outside the classroom.
For those seeking to study overseas, especially in the US for their undergrad, I recommend they go to a liberal arts college that puts an emphasis on diversity and one that has a decent sized international students’ student body.
For the first two years, the school I went to did not allow international students to reside off-campus.
So for my freshman year, first semester , I was assigned a Norwegian roommate.
Then during summer school, I was paired with a Haitian dude from South Florida.
Sophomore year, I had an Ethiopian. In my Junior and Senior years, I opted to reside off- campus.
Hiyo experience ya kuishi na hao roommates pamoja na kushiri katika extracurricular activities, vilinijenga sana. Ni experience ambayo mpaka leo bado naitumia.
Experience kama hiyo sidhani kama mtu anaweza kuipata endapo atasoma vyuo vya ndani tu.
UDSM haina international students body iliyo kubwa na iliyo diverse.
Nakumbuka during orientation ambapo kila mtu alijitambulisha na kutaja anapotoka, mabara yote ya dunia yaliwakilishwa.
Kabla ya hapo sikuwahi kukutana na mtu yoyote kutoka Armenia, Peru, Afghanistan, Cyprus, wala Panama.
But through college, I got to meet and go to school with people from all of those places and more.
Interaction na watu walio tofauti na wewe na wanaotokea pande zingine za dunia nayo ni elimu nzuri sana.
Mi niliangukiwa na zali tu yaani mtu aliyekuwepo huko akaniunganisha na shirika fulani (lilishakufa) nikapata full ya miaka mitano na option ya kuongeza mmoja. Full kwa maana ya full mpaka nyumba, chakula na monthly stipend unalipiwa...Hii full scholarship inapatikanaje