Kusoma nje ya Nchi, Is it worth it?

Mm ninae ndugu wa kuitwa nelson Huyu ni mfano halisi wa anacho zungumza Kiranga .
 
Kuanzia mazingira ya vyuo tu,Internet ipo fasta,Library materials za kutosha,wanafunzi wa mataifa tofautitofauti na totozi,kwa wale wenyeji mikopo mizuri ya kulia bata siku ya freshers.
 
Elimu za mbele Zipo good ila za bongo ni mbovu maana zinafundishwa na walimu waliofeli
Kuna vitu vinashangaza sanaa.....katika hii nchi kungekua na tuzo au sanamu za WALIMU BORA...
ukoo wetu ungechongewa sanamu.....

Mm nili achanaga na izo mambo...

Mwalimu sio G.P.A ni content.....
 
The experience I gained from going to a 4-year liberal arts college in the US, was/is invaluable.

I think I’m a better person because of it.

I have better interpersonal skills because of it .

I’m less judgmental. More open minded. No longer closed minded

I’m very understanding and accepting of others’ points of views. And so much more.

These experiences were mostly gained outside the classroom.

For those seeking to study overseas, especially in the US for their undergrad, I recommend they go to a liberal arts college that puts an emphasis on diversity and one that has a decent sized international students’ student body.

For the first two years, the school I went to did not allow international students to reside off-campus.

So for my freshman year, first semester , I was assigned a Norwegian roommate.

Then during summer school, I was paired with a Haitian dude from South Florida.

Sophomore year, I had an Ethiopian. In my Junior and Senior years, I opted to reside off- campus.

Hiyo experience ya kuishi na hao roommates pamoja na kushiri katika extracurricular activities, vilinijenga sana. Ni experience ambayo mpaka leo bado naitumia.

Experience kama hiyo sidhani kama mtu anaweza kuipata endapo atasoma vyuo vya ndani tu.

UDSM haina international students body iliyo kubwa na iliyo diverse.

Nakumbuka during orientation ambapo kila mtu alijitambulisha na kutaja anapotoka, mabara yote ya dunia yaliwakilishwa.

Kabla ya hapo sikuwahi kukutana na mtu yoyote kutoka Armenia, Peru, Afghanistan, Cyprus, wala Panama.

But through college, I got to meet and go to school with people from all of those places and more.

Interaction na watu walio tofauti na wewe na wanaotokea pande zingine za dunia nayo ni elimu nzuri sana.
 
Tumia lugha moja tafadhali
 
Ni wazi elimu ya nje ni bora sana , hebu angalia elimu ya Tanzania haimjengi mtu kuwa mbunifu au kufikiri nje ya kilichokuwepo .

Mwalimu hajengi urafiki na mwanafunzi bali kutengeneza hofu na kuogopwa , mwalimu anaweza kufaulisha wanafunzi vilaza kwa rushwa ya ngono au kufelisha wanafu zi asiowapenda.

Nimeongea kwa uzoefu maana nimesoma katika mifumo yote miwili na wa nje kwangu ni bora zaidi hata ukanivutia kuendelea kuendesha maisha .
 
Ntasoma comments, exposure is always good
 
Universalization and internationalization through education, grateful for the opportunity I had, I can't complain, imagine the entire class full of representation from diverse cultures, Bosnia, Slovenia, Montenegro, Serbia, India, Colombia, China, Mongolia, Uzbekistan, Tanzania, Italy, Germany, France, Ukraine, Russia, Croatia, Austria, UK, Hungary, Romania, Golden chance I loved it.
 
Umeandika vizuri kwa wengi kuelewa kirahisi safi sana Mkuu kwa maandishi haya naona kweli una vitu tofauti vijana wanatakiwa wapate kutoka Exposure uliyoipata..
 
Mkwe kumbe huwa mnawapilizia mabeberu😀
 
Hii full scholarship inapatikanaje
 
Hongera sana Buda
 
Tupeni madini tuone njia ya kuongeza ujuzi na si ili mradi kupoteza muda na Elimu za bongo, Hapo kwenye full scholarship tupeni connection wazee.
 
Kupata elimu ya nje kuna manufaa yake. Ukifanikiwa kupata scholarship hutaingia gharama yoyote, pia ukipata kazi huko ughaibuni usiiache...ukija huku bongo unaweza kuishia kupata frustrations kama hauna connection za kutosha. Scholarship zipo nyingi hasa kama unataka kuchukua Master's na kuendelea mfano Uingereza kuna Chevening, Common Wealth Scholarships, Sweden kuna scholarship za SIDA, Denmark pia wanatoa scholarship chini ya DANIDA, USA kuna Fullbright Scholarship etc. Elimu utakayoipata itakupa confidence katika eneo unalosomea, utafanya tafiti zinazoakisi mahitaji ya jamii/soko.

Utakutana na watu wa mataifa tofauti watakao kufungua macho na akili kuhusu dunia ilivyo, kujifunza tamaduni zao, changamoto etc. ni kitu kinachobadilisha mtazamo wako kuhusu dunia. Japo inabidi pia ujifunze kuvumilia utofauti wa baadhi ya mambo utakayokutana nayo, kwa nchi za Ulaya ni kawaida kukutana na wapenzi wenye jinsia moja wakionyeshana mahaba ama mara chache unaweza kukutana na watu ambao watakuletea ubaguzi kutokana na rangi yako ya ngozi. Mwisho wa yote uende kusoma ukiwa na malengo na mipango inayoeleweka ndio utapata manufaa zaidi !
 
Hii full scholarship inapatikanaje
Mi niliangukiwa na zali tu yaani mtu aliyekuwepo huko akaniunganisha na shirika fulani (lilishakufa) nikapata full ya miaka mitano na option ya kuongeza mmoja. Full kwa maana ya full mpaka nyumba, chakula na monthly stipend unalipiwa...

International students nadhani walikuwa wanalipa kama $39K kwa mwaka. Na hapo bado mambo mengine. Mtoto wa mkulima wa dengu kutoka Misungwi mi ningeweza wapi?

Kwa scholarships za US Google EBM Scholars utapata mwanga kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…