Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Nimesoma undergraduate Udsm, Masters Udsm hakuna habari unazovurumisha humu labda kama una maslahi mengine ya kukaza fuvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
actually, usiposoma nje ya udsm huwezi kujua ujinga mwingi wa udsm. nimesoma undergraduate udsm, degree zingine nimesoma nje. icho chuo ni kibaya sana na hawapo kwa ajili ya kuelewesha wanafunzi ila kukaririsha na kukomoa wasipate marks.Nimesoma undergraduate Udsm, Masters Udsm hakuna habari unazovurumisha humu labda kama una maslahi mengine ya kukaza fuvu
Huo ni mtazamo wako tu uliuchagua.actually, usiposoma nje ya udsm huwezi kujua ujinga mwingi wa udsm. nimesoma undergraduate udsm, degree zingine nimesoma nje. icho chuo ni kibaya sana na hawapo kwa ajili ya kuelewesha wanafunzi ila kukaririsha na kukomoa wasipate marks.
😂😂 Yani nikisikia sua natokwa na machoziUDSM mnadeka mno. Kwa SUA hizo tools za statistics unatakiwa kujenga nazo urafiki kabla ya mwaka wa pili kuisha sasa wewe unazishangaa kwenye ngazi ya masters
Kwa nini ndugu?😂😂 Yani nikisikia sua natokwa na machozi
Level gani na wapi?Daaah, nimemaliza shule jambo ni changamoto kwa kweli, lakini inawezekana.
Umesoma Udism Mkuu naona unajihamiYUDIZIMU haijawahi kuwa rafiki kwa wazembe na Vilaza. Pita hukuuuu
Chuoni tunasoma ili tusipate supp , knowledge tutaikuta makazini...Au mtu ana soma accountancy Hadi ana maliza hajui software yoyote inayotumika na wahasibu
Au mtu ana maliza dissertation Ali cremisha tu kothari huku hajui ku create software za data collection, Kuna zile za data analysis kama stata, Kuna nvivo, spss Sasa Hilo somo linakuwa halina maana na hata mhadhiri hazijui hizo.
We need to change wallah
Master's Degree UDSMLevel gani na wapi?
Mwenge Catholic University ( Mwecau).Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.
Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Hongera ni by Thesis au na ulitumia muda gani kumaliza?Master's Degree UDSM
Course work & Dissertation, miaka 2 kamili.Hongera ni by Thesis au na ulitumia muda gani kumaliza?
Miaka miwili mbona sio mingi ni mapema kabisa kwa vyuo vya serikali watu wanatumiaCourse work & Dissertation, miaka 2 kamili.
Yes, nilikuwa nawapa moyo wadau, kwamba kumbe inawezekana kumaliza kwa wakati.Miaka miwili mbona sio mingi ni mapema kabisa kwa vyuo vya serikali watu wanatumia
Miaka 4 hadi 6 kupata Master's degree
Ila siri ya kumaliza kwa wakati unaijua wewe kwa sababu kinachokwamisha niYes, nilikuwa nawapa moyo wadau, kwamba kumbe inawezekana kumaliza kwa wakati.