Kusoma Postgraduate ya Education

MABETE

Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
6
Reaction score
1
Habari zenu wana jamvi, mm nina degree ya Geografia na mazingira baada ya kufanya application nyingi na kuitwa kwenye usaili pasipo mafanikio nimekaa na kutafakari kuwa nisome postgraduate ya ila cfahamu inakuwaje na kwamba ukisoma ukimaliza huwa unapangiwa kama walimu au inakuwaje. kwa wanaofahamu naombeni msaada wenu.
 
Nenda shule za private hata usipokuwa na taaluma ya ualimu wanakuajiri ufundishe. Serikalini walimu wa masomo ya sanaa wameshatosha wanafikiria kusitisha ajira kwahyo unaweza poteza pesa na muda wako bure ndugu yangu.
 
Kasome duce au chuo chochote ukimaliza unapangiwa kazi moja kwa moja,mm pia nko mbioni
 
Nenda shule za private hata usipokuwa na taaluma ya ualimu wanakuajiri ufundishe. Serikalini walimu wa masomo ya sanaa wameshatosha wanafikiria kusitisha ajira kwahyo unaweza poteza pesa na muda wako bure ndugu yangu.

Mkuu kasigazi, hii kesi ya waalimu bado ni ngoma nzito sana kuicheza! yani ni sawa mziki upigwe Rnb, Bongo flavour, Hip Hop, charanga na Reggae kwa pamoja halafu unaambiwa uicheze hiyo miziki at a time!!!

Waalimu wa arts wametosha?? Kivipi?? Mijini ama wapi? Mbona kwetu huku mikoani tuna waalimu wawili tu wa sanaa wanahudumia watoto zaidi ya 400?? Huko ndiko kutosha kunakosemwa na serikali ya Jamhuri ama vipi?

Aliyefanya Research na kusema waalimu wametosha ni nani?? Hiyo research aliifanyia eneo sahihi kweli ama vipi??

Mi ningeishauri serikali kwamba, waalimu wote watakaajiriwa waambiwe mapema kwamba, ninyi mnapelekwa vijijini mwakani, no matter what! Hapo atakayekubali, atasoma! Atakayegoma, atajitafutia ajira yake!!!

Achilia mbali suala la huduma za kijamii.
Kiufupi bado sana waalimu kutosha!!
 

Sawa mkuu ulichokisema ni kweli lakini serikali ikishatoa tamko kwamba hawaajiri tena hao walimu wa arts utafanyaje ndugu yangu.
 
Acheni kupotosha uma, hakuna tamko rasmi la serikali linalosema mwakani hawataajili walimu wa arts, jamani hii nchi bado inauhaba mkubwa wa walimu, jaribuni kutembea kuna vijiji ata hao walimu wa arts hakuna, ukikaa dsm unaweza ukaamin hakuna tatizo
 
Acheni kupotosha uma, hakuna tamko rasmi la serikali linalosema mwakani hawataajili walimu wa arts, jamani hii nchi bado inauhaba mkubwa wa walimu, jaribuni kutembea kuna vijiji ata hao walimu wa arts hakuna, ukikaa dsm unaweza ukaamin hakuna tatizo

Wewe ulikuwa haufatilii bunge lililopita, kwenye kipindi cha maswali na majibu Celina Kombani aliyasema hayo.
 
ifike wakati tuache kutoa faraja zisizo na muongozo kwenye hil swala la ajira kwa walimu, i insue yaonekana kama soundles saiz lakin mambo yatakapo waka hakuna atakaye weza kujisaidia.. mda utakua umeenda na vilio vtakua vmetawala nch nzima walimu mkiungana na ndugu zenu kwenye bahasha za kaki... ndio msiba wa weng ni sherehe lakin ni wakat wako kujiangalia maana kaul ishatolewa kiwizwiz....
 
Bwana kalungi kwani Celina Kombani ni waziri wa elimu? Wizara ya elimu kila mwaka hutoa fom maalumu kwa kila chuo ili waalimu watarajiwa waweze kuchagua mikoa wanayopendekeza kupangiwa na mwaka huu wizara imetoa tena kwa sasa unachagua wilaya 3 si mikoa
 
kombani yupo utumishi na walimu ni watumishi wa umma,waalimu wapo chini ya tamisemi japo wizara ya elimu ndio inatunga sera zao na wizara ya fedha ndio inayowalipa,umenipata
 

uko sahihi kabisa mkuu,isitoshe idadi kubwa ya waalimu wanaacha kazi na kuhamia fani nyinginezo,swala la kumaliza tatizo la waalimu nchini bado ni kizungumkuti,kwasababu wengi wanaingia na wengi wanatoka!!!!
 
Hapo kazi Ipo maana mpaka sasa nasikia vyuo haviruhusu kusoma postigraduare ya ed. Kama ulisoma Bach, ya kitu Kingine sera za elimu Hapa bongo zimechange, fanya mpango ukapige masters tu
 
Hapo kazi Ipo maana mpaka sasa nasikia vyuo haviruhusu kusoma postigraduare ya ed. Kama ulisoma Bach, ya kitu Kingine sera za elimu Hapa bongo zimechange, fanya mpango ukapige masters tu

Duh
Kumbe!
 
The world is not fair. Kila la heri kijana.
 
Hapo kazi Ipo maana mpaka sasa nasikia vyuo
haviruhusu kusoma postigraduare ya ed. Kama
ulisoma Bach, ya kitu Kingine sera za elimu Hapa
bongo zimechange, fanya mpango ukapige masters
tu

.........sio kweli.......
 
Kwa nini watu always they want to study course for title? If you see your parents are peasant somea education kuliko kumalza bachelor hun kaz then unaanz kusomea ten post graduat ualim what is that?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…