Hoja nyingine za kipuuzi kabisa kutolewa na mtu anayeheshimika kama yeye. Eti serikali haina mamlaka ya kuingilia mambo ya watu majumbani mwao....!
Kosa ni kosa hata kama linafanyika ndani, kwani kosa la kubaka linafanyika hadharani? Wizi je, ukifanyika ndani serikali haiingilii?
Tukubali tu, hapa jamaa alilopoka