Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Wadau nimekuwa najiuliza jinsi ya kusoma masters bila kuwepo kwenye maeneo ya chuo inakuwaje. Kwa sabab mazingira niliyonayo mimi ni ya kujiajiri na nisingependa kupoteza muda wangu kwenye kuhudhuria darasani
Pili ningependa kujua expense zake kama ziko juu sana ukilinganisha na ya full time more than that quality yake inakuwaje? Kipato changu kwa mwezi ukitoa matumizi yote ni usd 2000. Mostly ningependa iwe ya Uk au us
Pili ningependa kujua expense zake kama ziko juu sana ukilinganisha na ya full time more than that quality yake inakuwaje? Kipato changu kwa mwezi ukitoa matumizi yote ni usd 2000. Mostly ningependa iwe ya Uk au us