Kusomea Sheria ni kusomea utamaduni wa Uingereza, hakuna kingine!

Kbsaa upo sahihi mkuu, tatizo la mjenga hoja ni hafahamu vizuri kuhusu sheria na mifumo ya sheria, ana mtazamo hasi juu ya sheria bila hoja zozote za mapendekezo na kwakuwa auelewa wake ktk masuala haya ni mdogo unakuwa radical na conservative tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…