Kaka/dada ,kama unapenda BVM kasome tu kwa moyo mmoja mambo ya kushauriwa ati "namjua jamaa mmoja jirani" utadhani wao ndio wanamchukulia mshahara utakuja juta. Mimi naamini kila kitu kinalipa ukijipanga tu. Ngoja nikupe ushuhuda wangu maana BVM ilikuwa one of my options,kwa kifupi mwalimu wangu wa chemistry a-level alikuwa daktari wa mifugo,anaitwa dr sanga,mara ya mwisho alikuwa headmaster moshi sec sijui kama alihamishwa,jamaa ilibidi apige chaki kupunguza ukali wa maisha,na ni very smart....waulizd waliosoma tosamaganga enzi hizo,hashauri kabisa mtu asome hiyo kitu,pia nishakutana face to face na madaktari wa mifugo wasio na kazi,ni nzuri ukijiajiri ila yataka mtaji...pia shule yake ngumu si masihara,kwa hiyo changa karata zako vizuri....